FT: Simba SC 1 - 0 JKT Tanzania | NBC PL | KMC Complex | 24.12.2024

FT: Simba SC 1 - 0 JKT Tanzania | NBC PL | KMC Complex | 24.12.2024

1000316377.jpg
 
Mzee bakhalesa kawekeza pesa nyingi kwenye timu yake😂😂 sisi simba na mbulula yanga tumewekeza kwenye marefa😂 mkisema hili la leo kumbukeni la kwenu la mikono
 
We mbumbumbu acha kujificha kichakani
Goli unalosema ni la mkono lilikuwa goli la 4
Halikiwa goli pekee la ushindi
Makolo wamepewa goli la penalty hewa
 
Simba ile ni penati pasina shaka, na lile la yanga ule mkono dhahiri shahiri, ila kwa kuwa wabongo tuna uzwazwa linapokuja suala la simba na yanga, basi watu watapigizana kelele.
 
Simba ile ni penati pasina shaka, na lile la yanga ule mkono dhahiri shahiri, ila kwa kuwa wabongo tuna uzwazwa linapokuja suala la simba na yanga, basi watu watapigizana kelele.
Ile siyo penalty
Aliyechewa faulo hakuwa na mpira
 
Simba ata ije na sera ya penalty, Bado Wana Safari ndefu kutwaa Ubingwa.

Kwasasa hakuna Ubingwa wa ujanja ujanja nafasi Yao ya msimu uliopita ipo palepale kama wata jikaza.
 
Mwisho wa siku utasikia tunakwenda Kwa mama kushtak,hongereni Kwa ushindi lakini msisahau sisi ndo wakali wa hizo kazi chafu,tulieni mtaona
 
Nilitegemea ushindi mkubwa na mpira mwingi ila imekuwa tofauti
Hujui mpira masta, tafuta mchezo mwingine ushabikie, tazama hizo takwimu halafu uone kama Simba hakupiga mpira mwingi. Wewe ni utopolo unayeugulia maumivu, si kama mechi yenu na Coastal ambayo mlipewa goli la offside la Baleke na mpira mlichezewa
 

Attachments

  • Screenshot_20241224-202227.png
    Screenshot_20241224-202227.png
    357.2 KB · Views: 2
S
Simba ata ije na sera ya penalty, Bado Wana Safari ndefu kutwaa Ubingwa.

Kwasasa hakuna Ubingwa wa ujanja ujanja nafasi Yao ya msimu uliopita ipo palepale kama wata jikaza.
Simba wamepewa penati halali, sio kama nyie mnapewa magoli ya mkono na offside kama la Baleke vs Coastal, wakati wapinzani wenu wananyimwa magoli halali kama lile la Ken Gold ambalo linafanana na mlilofungwa na TP Mazembe, la Mazembe lilikubaliwa lakini la Ken Gold likakataliwa
 
We mbumbumbu acha kujificha kichakani
Goli unalosema ni la mkono lilikuwa goli la 4
Halikiwa goli pekee la ushindi
Makolo wamepewa goli la penalty hewa
Katafute mchezo mwingine wa kushabikia kama unaona hii si penati halali. Vipi goli lenu dhidi ya Coastal,mbona lilikuwa offside ya wazi?
 

Attachments

  • HamidaSadrul_1871577783086002193(720P).mp4
    856.6 KB
We mbumbumbu acha kujificha kichakani
Goli unalosema ni la mkono lilikuwa goli la 4
Halikiwa goli pekee la ushindi
Makolo wamepewa goli la penalty hewa
Lifutwe basi, rudi ukaangalie lile tukuio vizur tena ujiridhishe ndio uje na umbumbumbu wako
 
Lifutwe basi, rudi ukaangalie lile tukuio vizur tena ujiridhishe ndio uje na umbumbumbu wako
Hajui kama alipofunga kwa mkono ina athari kubwa sana kwani Baca alikuwa na kadi ya njano hivyo alitakiwa kupewa kadi nyingine ya njano na nyekundu ambapo Yanga wangecheza pungufu na angekosa pia mechi nyingine na kama tunavyojua Yanga bila Baca ndio yanaweza kutokea yale yale ya Tabora United
 
Mzee bakhalesa kawekeza pesa nyingi kwenye timu yake😂😂 sisi simba na mbulula yanga tumewekeza kwenye marefa😂 mkisema hili la leo kumbukeni la kwenu la mikono
Ila Duu leo hata mimi nisiye zijua sheria za boli, kwa kuunganisha nukta unapata jibu la alama ya kuuliza ?
 
[/QUOTE]
Ficha ujinga wako.Yaani ukimshika mtu kwenye penalty area sio penalty mpaka awe na mpira?Hujaona penalti zikitolewa kwenye kona mlinzi akimshika mshambuliaji bila mpira.
Ndio tabu ya kufuata mkumbo.Kwa hiyo ukifanya faulo kwenye penalty area inakuwa sio faulo mpaka uwepo mpira?Soma sheria ya 12 na 14 kuhusu penalty au lugha ya kiingereza inagomba?
 
Back
Top Bottom