Mhimili uliojichimbia
Senior Member
- Jul 2, 2017
- 172
- 191
Hiyo nitakufundisha stage ya mwisho ya darasa langu, kwa kuwa kabla ya somo la magoli inabidi nikupe shule ya foul nje na ndani ya box na adhabu zakeSasa unataka nikurudishe darasani nikufundishe magoli halali ni yapi? Mbona una kaubishi wewe