Salehsaleh
Member
- Sep 9, 2024
- 11
- 11
Bandika sheria ya penalty mkuuBasi tutoe hilo la mkono. Tuwape nyie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bandika sheria ya penalty mkuuBasi tutoe hilo la mkono. Tuwape nyie
LEta video wewe. Hiyo picha propaganda zenu tuKweli karia anaua mpira
View attachment 3184090
Kweli kabisa mnapigwa goli ila hairudishwi kati mnasema haujavuka mstari, magoli ya kina Baleke ya offside na mkono yanatosha, no need of penaltiesWe kolo sisi hatutegemei penalty kushinda
Mwenye hasira wewe Utopolo. Kafungwa JKT unakata kiuno cha maumivu wewe.Chomoa kama imekuuma.Punguza hasira basi kolo. Hakuna kinachoenda kubadilika ila najua ukweli unakuuma.
Wapi limefungwa la mkono.?Nyie mnafunga kwa mkono.
bila shaka wewe ni utopolo lialiaWazee hapa tuwe wakweli bila bahasha hatutoboi.
Vipi ulikuwa jela?Wapi limefungwa la mkono.?
MImi nimetoa maoni kama shabiki wa mpira niumie nini kolo wizard wewe?Mwenye hasira wewe Utopolo. Kafungwa JKT unakata kiuno cha maumivu wewe.Chomoa kama imekuuma.
Maoni au maumivu?Unalialia nini?Jifunze urefa uchezeshe wewe gongowazi.MImi nimetoa maoni kama shabiki wa mpira niumie nini kolo wizard wewe?
Sasa unataka nikurudishe darasani nikufundishe magoli halali ni yapi? Mbona una kaubishi weweKweli kabisa mnapigwa goli ila hairudishwi kati mnasema haujavuka mstari, magoli ya kina Baleke ya offside na mkono yanatosha, no need of penalties
Mmojawapo wa mashabiki wa gongowazi alikuwa jela anauliza lilifungwa wapi?Ilikuwaje Yanga walishabgilia goli la Mkono?
Toa na weweKwa mujibu wa mangungu makolo ni kikosi cha B7 ila ili kushinda lazima milioni 1 Kwa refa,Asante sana
🤣🤣🤣Maoni au maumivu?Unalialia nini?Jifunze urefa uchezeshe wewe gongowazi.