GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Za mchongo.
Maumivu unayopitia ni makubwa sana, goli la dk za mwisho linauma sanaRafarii alikuwa familia tokea mwanzo,,nilijua tu aidha itolewe penalty ya mchongo ama red card,,maana mtu kabanwa mpaka katoa ulimi nje
Ashukuriwe aliyecheza faulo. Kulikuwa na ulazima gani kumshika Kapombe?Kwa kweli ashukuriwe refa kama.ilivyoonekana tangu mwanzo sasa imetimia
Bahasha imetimia nguvu moja
Za mchongo.
Pelekeni na nye mbona mnafunga magoli ya mikono,zamu hii tutapiga sana za penaltiesTunashukuru sana bahasha imejibu
Nguvumoja
Walizoea kucheza mechi zao na za mnyama, yaani walikuwa wanamuona refa mapema kwenye mechi zao na wanahakikisha mechi za mnyama kunakuwa na unfairness kwa mnyamaHawa watoto wanataka kutafuta furaha kupitia timu zingine baada ya kuona timu yao inasuasua.
Yule jamaa yako ambaye mlikuwa wote pamoja kwenye safari yenu ya kuicheka Simba, tayari kafanya vitu vya Usain Bolt.Refa anajaribu kwa kila namna kulipa fadhila lakini hawabebeki hawa jamaa.
Yaani refu wanazochezewa jkt ila hiyu mzee ndiyo vile kashakula mlungula mfukoni aibu sana
Fair play ni kwa wachezaji, refa Fair play yeye inamhusu nini?Fair Play.
Team imecheza vizuri vipindi vyote Sub ya kocha zinaighalimu team.Sema Simba baridi ishaanza kuingia ,hii nibebe haiwapi confidence wachezaji soon mtaona downward spiral
Niliwaambia leo mtalala bira chupi na roho zenu mbaya mbwa nyieMtalala bila chupi mbona
We kolo sisi hatutegemei penalty kushindakesho atachezesha tena topolo
Mkono kwenu ruksaWe kolo sisi hatutegemei penalty kushinda
Punguza hasira basi kolo. Hakuna kinachoenda kubadilika ila najua ukweli unakuuma.Ila kucheza netball ni sawa.Jifunze urefa au nunua kamba ujinyonge mimi nitalipa.
Basi tutoe hilo la mkono. Tuwape nyieMkono kwenu ruksa
Chukua vifaa ukachezeshe weweKwakweli refa haoni aibu kuonesha mahaba yake na makolo. Sijui katokea wapi huyu kolo
Nyie mnafunga kwa mkono.We kolo sisi hatutegemei penalty kushinda