Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu refa anasubiri nini kumaliza mpira kama ambavyo nyinyi mmemlalamikia??Kwa kweli ashukuriwe refa kama.ilivyoonekana tangu mwanzo sasa imetimia
Bahasha imetimia nguvu moja
Goli la dakika za mwisho linauma sana. Utto Jazz mnasemaje hapo? Kudinywa wanadinywa JKT lakini Utto ndio wanakata mauno. Malaya kweli hawa mbwa koko!Simba Sports wanashuka dimbani kwenye soku ya mkesha wa krisimasi kumenyana na maafande wa JKT katika dimba la KMC
Je, Dozi ya goli 5 alizotoa Simba kwa Kagera ataendeleza kwa maafande?
Mechi ni Saa 10:15 jioni kupitia Azam Sports 1HD
Usikose uhondo huo
Vyovyote mkuu, kikubwa kutoboaaa😉Tumshukuruni Refa kwakweli
Tunashukuru sana bahasha imejibuHuyu refa anasubiri nini kumaliza mpira kama ambavyo nyinyi mmemlalamikia??
Tupate clip kwanzaPenat gani ile wakuuu naomba mnieleweshe
Nashukuru viongozi wangu kwa kusikiliza ushauri wangu. Hali ingekuwa tete.Wazee hapa tuwe wakweli bila bahasha hatutoboi.
baada ya goli eti mbona refa kamaliza harakaVipi mliokuwa mnataka ziongezwe dakika chache, bado msimamo wenu ni ule ule au sasa mnataka ziongezwe 10?