FT: Simba SC 1-0 Vipers SC | CAF Champions League | Benjamin Mkapa Stadium | 07.03.2023

Sekandi hafu wataingia na aprochi ya kufunguka

Hapo ndio watakuwa wamejikologa kwenye draft tunamsemo kuwa "tunakula kete zote kuanzia kwenye bao hadi za mkononi alizoshika mpinzani "
Hii mechi ni fainali kwenu, tuweke utani pembeni hawa wakijichanganya si mbaya mkiwafanya kama Manchester walivyofanywa.

Mechi na Horoya itakuwa ngumu, leo mshinde kibabe kuweka do or die mechi ya mwisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…