Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Mlifungwaje?Ila Vipers nao wepesi sana, hawana maajabu. Mmekutana madunduka na mdananda tu hakuna kipya...
NB: Majibu sahihi hayatakiwi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mlifungwaje?Ila Vipers nao wepesi sana, hawana maajabu. Mmekutana madunduka na mdananda tu hakuna kipya...
Habari njema sana kwa Simba,maana yake matokeo yakibaki kama yalivyo,Simba anapanda nafasi ya pili na Horoya wanashuka ya tatu.Hii ni habari njema ama mbaya?
Waliwagonga 2-0 pale taifa kwenye siku yenuIla Vipers nao wepesi sana, hawana maajabu. Mmekutana madunduka na mdananda tu hakuna kipya...
Tuwaombee mechi ya kirafiki na hao mdananda ?Ila Vipers nao wepesi sana, hawana maajabu. Mmekutana madunduka na mdananda tu hakuna kipya...
Hawa siyo ndiyo waliowapasua hapa kwa Mkapa kwenye siku yenu? Sasa leo mnawadharau? Au ndiyo ile ya mzigo wa mwenzio ni ganda la usufi?Hadi Vipers mnabana kende
Mkienda Morocco so zitapasuka kabisa
Hahahaa kama mm. Wewe bana ya kushoto mm nabana ya kuliaNipo kitengo cha kubana pumbu. Siwezi kukoment muda wote
Kwani matokeo yakibaki kama hivi yalivyo Simba haipandi nafasi ya pili?Mwarabu aongeze mbili nyingine, ili Simba Sc twende zetu nafasi ya pili..
Ila Vipers nao wepesi sana, hawana maajabu. Mmekutana madunduka na mdananda tu hakuna kipya...
Famasihara niniKwa mliopo safarini haya ndio mazingira ya goli yalivyokuwa, mnaemuona chini ni kipa wa Vipers akiwa hajui nini kimetokeaView attachment 2540882
Hii mechi ni fainali kwenu, tuweke utani pembeni hawa wakijichanganya si mbaya mkiwafanya kama Manchester walivyofanywa.Sekandi hafu wataingia na aprochi ya kufunguka
Hapo ndio watakuwa wamejikologa kwenye draft tunamsemo kuwa "tunakula kete zote kuanzia kwenye bao hadi za mkononi alizoshika mpinzani "
Hii ni HabarI njema kwa mnyama kama matokeo yatabaki hiviHoroya 0-2 raja hawa raja
Waliwagonga 2-0 pale taifa kwenye siku yenu
For real bruhHii mechi ni fainali kwenu, tuweke utani pembeni hawa wakijichanganya si mbaya mkiwafanya kama Manchester walivyofanywa.
Mechi na Horoya itakuwa ngumu, leo mshinde kibabe kuweka do or die mechi ya mwisho.
Sis tunawataka Viper na Horoya, Raja wafunge hata 10Hadi Vipers mnabana kende
Mkienda Morocco so zitapasuka kabisa
[emoji1787][emoji1787] kwa kutusagia kunguni tu ndugu yanguIla Vipers nao wepesi sana, hawana maajabu. Mmekutana madunduka na mdananda tu hakuna kipya...
Waliotea tu na ilikuwa mechi ya kirafiki. Hapa mmekutana guvu moyaWaliwagonga 2-0 pale taifa kwenye siku yenu
Chukua hiyo 😡😡OKW BOBAN SUNZU si nilishakufundisha matumizi ya DISLIKE lakini? 😄😄😄😄 ole wako uendelee kuni dislike hamtafika hata robo
Yale madeni yenu ya goli mbili tayari tumeshawalipiaWaliotea tu na ilikuwa mechi ya kirafiki. Hapa mmekutana guvu moya