FT: Simba SC 1-0 Vipers SC | CAF Champions League | Benjamin Mkapa Stadium | 07.03.2023

Tutadhalilika zaidi
Tukieda morroco no chama no sakho wala saidoo kikosi kizima wanajaa mabeki na viungo wa ulinzi tu,japo hata wenyewe hawatakamia sana hyo mechi,coz washaenda zao robo fainali
 
TANGAZO
Kesho hatutaki dunduka yeyote atuanzishie uzi, tutaanzisha wenyewe baada ya dakika 3 na kuendelea. Baada ya mchezo kuanza. Mzingatie hili Tangazo. Tuna letu jambo....
Ligi ya ma losers ndio leo sio?Na wameipanga sawa na tarehe ya siku ya ..........Sijasema.
 
TANGAZO
Kesho hatutaki dunduka yeyote atuanzishie uzi, tutaanzisha wenyewe baada ya dakika 3 na kuendelea. Baada ya mchezo kuanza. Mzingatie hili Tangazo. Tuna letu jambo....
Hahahaa. Lol.

Cc. Yule naniliu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…