Refa ana mahaba tofauti na hapo nyau analiwaRefa safi sana anaacha game inaflow
Ndo uwezo waoSimba wamepoa
Huna timu ya kumpiga mtu nyingiHawa Vipers hamna kitu.
Watakula nyingi sana...
wametuita Zuwena ..
Utopolo wanaamini upuuzi ndio maana wako kombe la mbuzi ..Kuna mwana Yanga amekutwa na vitu ambavyo watu wamevihusisha na maswala ya ushirikina
Sio mimi MkuuMkuu ule uzi wako wa utabiri wa mechi kati ya Vipers vs Simba pale St. Mary's Uganda uliufuta?
Kachapika kinomaUtopolo wanaamini upuuzi ndio maana wako kombe la mbuzi ..
Tu-focus na uwanjani, hayo madude hayawezi kumzuia mtu kama Messi asikufunge
Mpaka dkk 90 ivyo ivyoSakho kawakosa header
Samahani kwa usumbufu mkuuSio mimi Mkuu
Tunahitaji goli la mapema
Acha uoga mkuuNipo nachungulia mdogo mdogo mtani