Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muda wa kufanya matengenezo bado ni mkubwa tu.Huu uwanja bila kumrudisha mchina auweke sawa, kuna hatari hautaruhusiwa kuchezea Super Cup. Sioni ukiweza kutengenezwa wakati bado unatumika karibu kila wiki.
Mpira umeisha?Horoya kashachapwa kimoja. Tushindwe sisi tu
Ibenge na Mamelod huenda wakapita.Ibenge hashikiki,kempasua mtu 2-0.
mechi zimeanza pamoja na hiiMpira umeisha?
Dakika ya 10Mpira umeisha?
Hapana,Mashabiki tumewaangusha wachezaji
Leo anacheza simba,Kesho yanga,keshokutwa atakuja Mwamposa uwanja unapumzika siku 1 dozi inaendelea utaacha kuoza?Wakati wenzetu Halftims tu uwanja unapigwa maji sijui kama bustani UWANJA UPUMZISHWE ule wakachezee Santiago de Manungu stadium ukoPitch Ya Uwanja Wa Taifa Imeoza [emoji1787] Yani Wanashindwa Hata Kupaka Chaki Mistari Ionekane Vizuri
Afe kabisa tena nyingi sana.Horoya ashakufa huko...