Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,413
- 4,020
hii itaoneshwa saa ngapi?Hii mechi haina ladha bora kucheki gemu ya Horoya vs Raja casablanca.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hii itaoneshwa saa ngapi?Hii mechi haina ladha bora kucheki gemu ya Horoya vs Raja casablanca.
Kibu kipemzi cha wana leo atakosa mechiKwani mwamba Kibu ana shida gani?, kwenye kikosi hata kwenye mbao ndefu
Ahhahahahah hahaah ila jamani sasa Dejan yuko wapi au upo sitimbi? Bado mnajua Dejan yupo Simba..Mo ANASHIDA sana.
Tunataka Quality players.
Si Hawa wachezaji wa Buku Buku.
Akina Kanute, sawadogo, Banda, Baleke, Ottara, Dejan.
Asituletee mambo za ajabu ajabu kabisa..
Aige mfano kwa GSM.
Bangala, Aucho, mayere.
Moka na penthi.
Chama angekaa kati saido pembeniKibu kipemzi cha wana leo atakosa mechiView attachment 2540779
Uzuri wa chama hata beki anaweza kuchezaChama angekaa kati saido pembeni
Sina au John Cena?Sina anakufa leo hamta amini macho yenu
Simba anakufa ndio huyo sina kila mechi hana matokeoSina au John Cena?
Karibu tushangilie sare hapa VIP BNyoka nyoka mje muungane na nyoka wenzenu muwashangilie