FT: Simba SC 1-0 Vipers SC | CAF Champions League | Benjamin Mkapa Stadium | 07.03.2023

FT: Simba SC 1-0 Vipers SC | CAF Champions League | Benjamin Mkapa Stadium | 07.03.2023

Nimesikitika sana leo baada ya kuangalia picha yangu ya utotoni nikiwa na jezi ya vipers na kugundua kuwa hii ndio timu yangu ya kindakindaki ya udogoni,miaka tote sina timu kumbe chama langu lipo ila nilifichwa kwa makusudi !! sasa nahamishia nguvu zangu kusapoti vipers.

Wakati nimetulia natafakari swala hili kuna ndugu akining'ata sikio"oya ogopa matapeli baby zako wote upande wa Baba walikuwa Raja" hapa nipo njia ya panda nimeamua nizisapoti zote baada ya mechi za makundi niichague timu moja rasmi.
 
Yani Simba akifungwa ama kutoa sare ndo basi tena
 
Leo majira ya saa 1:00 usiku, katika dimba la Benjamin Mkapa, Wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika watakuwa wanawakaribisha Vipers Sc katika mchezo muhimu sana.

Huu ni mchezo ambao Simba anahitaji alama zote 3 kwa hali na mali ili kujiwekea mazingira mazuri ya kufuzu kwa raundi ya robo fainali.

Je ile kauli ya kwa mkapa hatoki mtu itarejea tena leo? Naamini itarejea na Simba ataibuka na ushindi mnono.

Simba atashuka dimbani akiwa ana alama 3 huku vinara wa kundi hilo Raja wakiwa na alama 9 na wao watashuka dimbani ugenini muda mmoja kucheza na Horoya.

Kama ilivyo ada, mechi itakuwa mubashara, ZBC 2 ya AzamTv, Veriety 3 chaneli 228 ndani ya DStv na wale wa kustream basi utaipata mechi ndani ya YacineTv.com

Tukutane hapa saa 1:00 usiku
42dd920dfc24db1d84f0d92869d29c81.jpg
 
Msishangae leo nusu ya uwanja wakiwa wamevaa masuti. Makampuni mengi yana ushirikiano mzuri na Simba na leo yanakuja kutoa sapoti.
 
Msishangae leo nusu ya uwanja wakiwa wamevaa masuti. Makampuni mengi yana ushirikiano mzuri na Simba na leo yanakuja kutoa sapoti.
Yes, akina Mo Extra, Mo sabuni, Mo Ukwaju, Mo kashata, Mo bodaboda pamoja na Vunja bei. Nusu ya uwanja ni suti tupu!

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Yes, akina Mo Extra, Mo sabuni, Mo Ukwaju, Mo kashata, Mo bodaboda pamoja na Vunja bei. Nusu ya uwanja ni suti tupu!

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Na pisi kali zote za mjini zitakuwepo. Msiige tu maana nyie hamna hata chembe ya aibu
 
Msishangae leo nusu ya uwanja wakiwa wamevaa masuti. Makampuni mengi yana ushirikiano mzuri na Simba na leo yanakuja kutoa sapoti.
Weka ufafanuzi vizuri wa namna suti zinavyotakiwa kuwa, raia wanaweza wakajua umemaanisha hivi
Screenshot_20230302-172206.png
 
mechi saa ngapi??
 

Attachments

  • 1678193954332.jpg
    1678193954332.jpg
    36.5 KB · Views: 2
Back
Top Bottom