Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Acha tu dear sie wengine roho zetu ndogoHahahahahaahahhaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha tu dear sie wengine roho zetu ndogoHahahahahaahahhaha
Umeisha nitoke chooni?
AstakafilurahHongera mtani. Naona umeshusha pumzi kama vile umetoka kuzaa mapacha!
Hii simba yenu siku hizi hata mkishinda, mnashinda kwa mateso mno!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Toka tu chooni [emoji1][emoji1][emoji1]Umeisha nitoke chooni?
Nakupa hiyo kazi umchague yeyote umpendae[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ukipata muda, katazame wale wanaoongoza makundi yao alafu useme ni nani kati yao utamfunga goli nyingi.
Hata mm kujifanya tuu natype hapa kumbe na TV nilizimaAcha tu dear sie wengine roho zetu ndogo
Uzuri hakuna asiewajua haya Uto wana story yaoRaja wanatisha manina. Tunaomba watupe hata droo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322]FT' Simba 1-0 Friends Of Yanga
Tukutane kesho kwenye siku ya wanawake pale kwa Mkapa.
Adios Amigo
Me kuna kipindi nilibadili channel nafatilia uku jf haya mambo hayaHata mm kujifanya tuu natype hapa kumbe na TV nilizima
Asante Dunduka mwenzetuHongereni madunduka fc.......
Raja wanatisha manina. Tunaomba watupe hata droo
Mzuri sanaHii ni habari njema ama mbaya?