Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unahustle na Vipers hivi alafu useme mtu atakula goli nyingi? [emoji38][emoji38] Nani huyo? Una uwezo wa kumpiga nyingi Esperance, Wydad, Raja na Mamelodi alafu kwao wasichomoe? [emoji38][emoji38]Nakupa hiyo kazi umchague yeyote umpendae[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Taifa Kubwaaa[emoji1306][emoji1306][emoji1306]
Nguvu zote zilizobaki zitaishia hapo, atleast sasa karata imerudi mikononi mwa mnyama ..Next game ya Simba ndio itaamua kama Simba anapita au lah...ni game muhimu mno
Pole... tension ya kiwango cha juu sana .Hata mm kujifanya tuu natype hapa kumbe na TV nilizima
Acha kabisa kuwapigia hesabu hao jamaa, watakukanda vizuri tu. Wewe weka nguvu kumuua Horoya kwa mkapa!Raja wanatisha manina. Tunaomba watupe hata droo
Si umtaje tu kuwa unamlenga Simba?Hawa raja iko siku watamnywa mtu goli 10
Chagua yeyote unayempenda hapo[emoji1787][emoji1787]Unahustle na Vipers hivi alafu useme mtu atakula goli nyingi? [emoji38][emoji38] Nani huyo? Una uwezo wa kumpiga nyingi Esperance, Wydad, Raja na Mamelodi alafu kwao wasichomoe? [emoji38][emoji38]
Sio mbaya kivipi. Hapa ni point 3 muhimu. Ni ligi ya mabingwa sio ndondo ya kombe la luzasio mbaya sana kikubwa ushindi.haya kazi kwao wale waliokua wanatukana mamba kabla awajavuka mto.
Aende straight tu. [emoji38]
Wewe ulipona naonaHawa Raja hawa wangekutana na Uto wangewaua walai
yap.kazi iliyobaki ni kumla Horoya tutinge robo.Sio mbaya kivipi. Hapa ni point 3 muhimu. Ni ligi ya mabingwa sio ndondo ya kombe la luza
Unafika vipi nusu fainali bila kupita robo fainali?
Tuliwakosakosa...wenyewe hawakuamini..Ila Horoya ilitakiwa tuwapige kwao. Group lingeshaisha
sawaaaaaaaaaaHaya jamani ya kwetu yameisha salama tutaonana kesho hapahapa sawa watani