Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Acha masikhara mtani.Ila tambua sisi bado tupo kwe mbio za ubingwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha masikhara mtani.Ila tambua sisi bado tupo kwe mbio za ubingwa
Hapo Ndio Tunasema Dawa Imeingia[emoji23][emoji23][emoji23]Wapumbavu kabisa kuanzia refa na azam tv yote...
Lakini hayo ndio matokeo nazuri kwa Yanga. Sare ilikuwa jambo jema zaidi kuliko mmoja wapo kushinda.Yule dogo aliye vaa jezi namba kumi na sita,aka lie benchi yaani ile krosi ya Sopu alikuwa na nafasi nzuri ya kuicheza au hata kumdisturb,ila kaishia kukabia macho.
Ila Dube naona ana uhakika wakuwafunga kila mkikutana nae.
Hahahaahh nyie ngojeni kwa sasa chekeni tuu...Hapo Ndio Tunasema Dawa Imeingia[emoji23][emoji23][emoji23]
Jana 5imba wamepelekewa moto balaaaaa!
🤣🤣🤣Tulizeni vikwapa muda bado...
Anashinda njaa au 🤣Hii mechi Simba anashinda...
Utakuwa kinara wa maksudi!!Hii kauli Shark unajisikiaje nayo sasa..!!?? Dawa ya makolo kutofungwa na Dube, ni kumsajili tu..!!
CC Kalpana Mpemelelo Dume, GENTAMYCINE Mpumelelo Dube, Mshana Jr Mpumelelo Dube, Shark Mpumelelo Dube, uran Mpumelelo Dube, Valentina Mpumelelo Dube, Kitambi chakufutia tachi kufutia Mpumelelo Dube, CHIEF PRIEST Mpumelelo Dube, Robidinyo Mpumelelo Dube, Charles kilian Mpumelelo Dube, Designer_3434 Mpumelelo Dube, Scars Mpumelelo Dube et ell
Maksudi Mpumelelo Dube..!! 😂 😂 😂Utakuwa kinara wa maksudi!!
Hata hii post yako umeipost kwa maksudi tu!! 😂😂
Ligi asipobeba Mnyama basi wanabeba Azam!!Maksudi Mpumelelo Dube..!! 😂 😂 😂
Nilikua humu kwauzi wahio mechi mpaka 90' Azam walikua wanaongoza 1 simba mmechomoa dakika za nyongeza mlikua hooooooiiiii!Umehadisiwa hii game wewe My wake Smart
Kama umesoma Engineering (Electrical) utanielewa kuhusu magnetic induction theories. Wapya watawa-induce wa zamaniLigi asipobeba Mnyama basi wanabeba Azam!!
Viwango vya kina Pacome, Max n.k vimefika tamati mapema sana.
Kama umesoma uchumi kidogo utanielewa kuna fact moja inaitwa "Law of Diminishing Marginal return".
Yaani kuna nafasi za moto 5 Azam wamezikosa..!! Makolo watake wasitake, moto wamepelekewa..!!Nilikua humu kwauzi wahio mechi mpaka 90' Azam walikua wanaongoza 1 simba mmechomoa dakika za nyongeza mlikua hooooooiiiii!
Azam waliwapelekea moto kinoumaaaaaa!