Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu embu kaa chini, weita mletee peps huyu atulize mapigo ya moyo.Kwenu dogo?? Kule kagera mlitaka kutoka roho mlishukuru sana kwa ile droo ya kubebwa...
Nilikuwa naangalia mechi online nikiwa zangu nje kando ya barabara nimevaa jezi yanguUlipata pressure mkuu
Mkuu embu kaa chini, weita mletee peps huyu atulize mapigo ya moyo.
Ligi mpaka iishe unakuwa umecheza jumla ya michezo 30
Hakuna shidaNilikuwa naangalia mechi online nikiwa zangu nje kando ya barabara nimevaa jezi yangu
Sasa ile tumefungwa tu, mashabiki wa Yanga wakaanza kuni harass kelele kibao amani ikatoweka.
Wakati wa half time ikabidi nirudi home tu.
Yote yanawezekana tuuLigi mpaka iishe unakuwa umecheza jumla ya michezo 30
Bado michezo miwili tukamilishe mzunguko wa kwanza (mechi 15)
Maana yake mechi zote tulizozicheza na zingine mbili ambazo bado hatujazicheza. Lazima tutakuja kuzicheza tena kama second leg.
Mechi ya leo ilikuwa ni yetu maana sisi ndio wenyeji, basi mzunguko ujao tutakuwa na mechi hii ila mwenyeji atakuwa Azam.
Acha kusingizia Camera. We ulitegemea Sarr umuone anacheza sawa na Alcantara au Per Jobe umuone kama unavyomuona Haaland? Timu hatuna sisi butua butua FC. Sisi ndio tumecheza hovyo. Mbona jana game ilikuwa Powa?Yani nitakua nafatilia humu mpira kuliko kuangalia camera za Azam...nimeangalia kipindi cha pili ni utopolo mtupu...bora mechi za nje huko...
Mmeshinda?Inakuuma?
Ni kweli ndio maana ipo nafasi ya tatuHakuna shida
Timu haiko vibaya
Anapumulia mashine!Mnyama Simba....
Hahaha kwa Sasa Azam haepukiki ni kama majiAzam Tv wangese wangese zenu...sitakaa kuangalia tena Tv lenu..shwaini zenu...haya furahini sasa wapumbavu nyie...hamrudii matukio ya uwanjani yaliyoleta sintofahamu...ww kayoko mpuuuzi mkubwa....
Tumekula...Mmeshinda?
Taratibu mkuu ligi kuisha sio LeoOohh kwahiyo jumla hadi ligi iishe sisi tumebakiza ngapi na wao ngapi mkuu
Hapana,hiyo draw imetunufaisha Azam alitaka kutuzoea sasa gap imeongezekaIla mi vyura imefuraa muda huuu yalitaka tusisawazishe....
nadhani sasa unajutia uandishi wako 😁Gooooooooooo,chama kachomoa.
Dunduka hilo limeshapagawa kama Jebby lenyewe linajua limeshashinda kiporo kingine..Point saba kwani hiko kiporo umecheza
Kwan vip Papaa Omary wa njombe na Fredy kulwa Leo hawakucheza?Yani nitakua nafatilia humu mpira kuliko kuangalia camera za Azam...nimeangalia kipindi cha pili ni utopolo mtupu...bora mechi za nje huko...