FT: Simba SC 1-1 Azam FC | NBC Premier League | CCM Kirumba Stadium| 09.02.2024

FT: Simba SC 1-1 Azam FC | NBC Premier League | CCM Kirumba Stadium| 09.02.2024

Yule dogo aliye vaa jezi namba kumi na sita,aka lie benchi yaani ile krosi ya Sopu alikuwa na nafasi nzuri ya kuicheza au hata kumdisturb,ila kaishia kukabia macho.

Ila Dube naona ana uhakika wakuwafunga kila mkikutana nae.
 
Yule dogo aliye vaa jezi namba kumi na sita,aka lie benchi yaani ile krosi ya Sopu alikuwa na nafasi nzuri ya kuicheza au hata kumdisturb,ila kaishia kukabia macho.

Ila Dube naona ana uhakika wakuwafunga kila mkikutana nae.
Dube mpira umeisha
 
Usijisahaulishe kuna Prince Mpumelelo Dube..!!!
Hii kauli Shark unajisikiaje nayo sasa..!!?? Dawa ya makolo kutofungwa na Dube, ni kumsajili tu..!!

CC Kalpana Mpemelelo Dume, GENTAMYCINE Mpumelelo Dube, Mshana Jr Mpumelelo Dube, Shark Mpumelelo Dube, uran Mpumelelo Dube, Valentina Mpumelelo Dube, Kitambi chakufutia tachi kufutia Mpumelelo Dube, CHIEF PRIEST Mpumelelo Dube, Robidinyo Mpumelelo Dube, Charles kilian Mpumelelo Dube, Designer_3434 Mpumelelo Dube, Scars Mpumelelo Dube et ell
 
Hii kauli Shark unajisikiaje nayo sasa..!!?? Dawa ya makolo kutofungwa na Dube, ni kumsajili tu..!!

CC Kalpana Mpemelelo Dume, GENTAMYCINE Mpumelelo Dube, Mshana Jr Mpumelelo Dube, Shark Mpumelelo Dube, uran Mpumelelo Dube, Valentina Mpumelelo Dube, Kitambi chakufutia tachi kufutia Mpumelelo Dube, CHIEF PRIEST Mpumelelo Dube, Robidinyo Mpumelelo Dube, Charles kilian Mpumelelo Dube, Designer_3434 Mpumelelo Dube, Scars Mpumelelo Dube et ell
Huyu Dube Sasa ashatufanya sie mwembe wa uwani,
Ukijisikia tu hamu unaangua.

Shida hata kama dawa yake ni kumsajili lakini pia Azam sio timu ya kushindana nayo usajili au mchezaji.
 
Hii kauli Shark unajisikiaje nayo sasa..!!?? Dawa ya makolo kutofungwa na Dube, ni kumsajili tu..!!

CC Kalpana Mpemelelo Dume, GENTAMYCINE Mpumelelo Dube, Mshana Jr Mpumelelo Dube, Shark Mpumelelo Dube, uran Mpumelelo Dube, Valentina Mpumelelo Dube, Kitambi chakufutia tachi kufutia Mpumelelo Dube, CHIEF PRIEST Mpumelelo Dube, Robidinyo Mpumelelo Dube, Charles kilian Mpumelelo Dube, Designer_3434 Mpumelelo Dube, Scars Mpumelelo Dube et ell
Summary ya hao ulio watag ni hiyo kwenye picha
FB_IMG_1707543855443.jpg
 
Huyu Dube Sasa ashatufanya sie mwembe wa uwani,
Ukijisikia tu hamu unaangua.

Shida hata kama dawa yake ni kumsajili lakini pia Azam sio timu ya kushindana nayo usajili au mchezaji.
Yaani huyu bila kumsajili atawaweka sana tu..!! Na safari fulani alisikika akisema Manula kutopangwa amehuzunishwa
 
Dube anawapatia Simba tu.
Kimataifa ni 0%
Kuifunga Yanga ni 0%
Mechi za Ligi ni 5%
 
Back
Top Bottom