FT: Simba SC 1-1 Azam FC | NBC Premier League | CCM Kirumba Stadium| 09.02.2024

FT: Simba SC 1-1 Azam FC | NBC Premier League | CCM Kirumba Stadium| 09.02.2024

Azam mbona tumesema sana kuhusu tabia hii

Kwanza Camera zao mbovu utadhani wanatumia Camera za CCTV

Ukija kwenye replay unakutana na scratch yani ile slow motion inavyo pelekwa pelekwa inaongeza utata zaidi wa tukio kuliko lilivyoonekana wakati wa live
Wapuuzi kweli kweli...sawa wamepata walichokita...huyo kayoko kama amehongwa basi hafiki nazo mbali...macho makubwa kama kinyonga...
 
Chamaaaaaa for life....
Chama mmoja ni kina dube 2000
 
mbona simba anapoint 30 na yanga ana 37 kwa akili yako hapo ni tofauti ya point 4

Ulivyokua na akili ndogo hiyo mechi ambayo hujacheza umeshaipigia mahesabu kwamba tayari mmeshashinda
Kwahyo na ww unajiona kwamba mechi zote utashinda....
 
Yani nitakua nafatilia humu mpira kuliko kuangalia camera za Azam...nimeangalia kipindi cha pili ni utopolo mtupu...bora mechi za nje huko...
 
Back
Top Bottom