econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Point nne ziko tricky Sana.Gap la point 4 sasa draw yao faida kwetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Point nne ziko tricky Sana.Gap la point 4 sasa draw yao faida kwetu
Soma maoni ya mashabiki wenzioTuna wasiwasi na wajinga wajinga?
Wewe tena mkuu?Safi sana sipendi timu zinazo poteza mda
Kutaka m cost BENCHIKA ni kung'ang'ania SAIDOO..Huyu ndio anauwa timu hana analolifanya
OkAll the way from Mexico, Wishing Azam the huge win[emoji123][emoji123][emoji123]
Huyu Benchika naye ajiangalieKutaka m cost BENCHIKA ni kung'ang'ania SAIDOO..
Ana juhudi , sawa lakini hana talents za kutosha ..
Faulu wanang'ang'ania yeye, kona yeye...98% hazina impact...
Hata faulu ya goli la CHAMA , ingekuwepo SAIDO ndani angengangania kupiga...
Kama kocha haoni vile
TOPU SCOLA na GOLDENI BUTI lazima acheze bhanaKutaka m cost BENCHIKA ni kung'ang'ania SAIDOO..
Ana juhudi , sawa lakini hana talents za kutosha ..
Faulu wanang'ang'ania yeye, kona yeye...98% hazina impact...
Hata faulu ya goli la CHAMA , ingekuwepo SAIDO ndani angengangania kupiga...
Kama kocha haoni vile
Timu ilikuwa na fatigue.Wamecheza mechi 3 ndani ya siku 6.Ratiba ilibana sana.Bora droo kuliko kufungwa. Sasa tujifunze na makosa ya Leo.
kama bila tauloUjinga huu sasa
Dakika za nyongeza FC
Kweli Saidoo michosho sana kazi kujiangusha na Kila Kona na Faulo anang'ang' ania kupiga .Kiufupi Saidoo mpira upo mwishoni ila hataki kukubaliana na realityKutaka m cost BENCHIKA ni kung'ang'ania SAIDOO..
Ana juhudi , sawa lakini hana talents za kutosha ..
Faulu wanang'ang'ania yeye, kona yeye...98% hazina impact...
Hata faulu ya goli la CHAMA , ingekuwepo SAIDO ndani angengangania kupiga...
Kama kocha haoni vile
Mi kama chogo muda wote nipo ila ukigeuka kwa lengo la kutaka kuniona hunioniNdo umeibuka[emoji3][emoji3]
Unamaanisha baada ya kuondoka Baleke akasajiliwa Boco? Baleke ni Mtanzania?Timu ya Kifaraa hiii,unatema Baleke unasajili Boccoo.Hahaahaaa! Upuzi wapo Thimba!
Sisi tunaamini kwenye ubora kuliko bahati za sandakarawe pamoja na kubebwa.Hii ni faida kwetu zaidi, endeleeni kugombea nafasi ya pili ndio size yenu.
Umesahau za jana?Ujinga huu sasa
Dakika za nyongeza FC