FT: Simba SC 1-1 Azam FC | NBC Premier League | CCM Kirumba Stadium| 09.02.2024

FT: Simba SC 1-1 Azam FC | NBC Premier League | CCM Kirumba Stadium| 09.02.2024

Kutaka m cost BENCHIKA ni kung'ang'ania SAIDOO..
Ana juhudi , sawa lakini hana talents za kutosha ..
Faulu wanang'ang'ania yeye, kona yeye...98% hazina impact...
Hata faulu ya goli la CHAMA , ingekuwepo SAIDO ndani angengangania kupiga...

Kama kocha haoni vile
Huyu Benchika naye ajiangalie
 
Kutaka m cost BENCHIKA ni kung'ang'ania SAIDOO..
Ana juhudi , sawa lakini hana talents za kutosha ..
Faulu wanang'ang'ania yeye, kona yeye...98% hazina impact...
Hata faulu ya goli la CHAMA , ingekuwepo SAIDO ndani angengangania kupiga...

Kama kocha haoni vile
TOPU SCOLA na GOLDENI BUTI lazima acheze bhana

Ali sikika mlevi mmoja pale Msimbazi
 
Kutaka m cost BENCHIKA ni kung'ang'ania SAIDOO..
Ana juhudi , sawa lakini hana talents za kutosha ..
Faulu wanang'ang'ania yeye, kona yeye...98% hazina impact...
Hata faulu ya goli la CHAMA , ingekuwepo SAIDO ndani angengangania kupiga...

Kama kocha haoni vile
Kweli Saidoo michosho sana kazi kujiangusha na Kila Kona na Faulo anang'ang' ania kupiga .Kiufupi Saidoo mpira upo mwishoni ila hataki kukubaliana na reality
 
Hii ni faida kwetu zaidi, endeleeni kugombea nafasi ya pili ndio size yenu.
Sisi tunaamini kwenye ubora kuliko bahati za sandakarawe pamoja na kubebwa.

Tukifungwa au kusare kihalali tunawapongeza wapinzani maana huo ndio mpira

Mechi yenu na Kagera unajua kilichojiri
 
Back
Top Bottom