EricMan
JF-Expert Member
- Oct 5, 2017
- 3,050
- 5,420
sio point 4 ni 5 = 32 to 37Gap la point 4 sasa draw yao faida kwetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sio point 4 ni 5 = 32 to 37Gap la point 4 sasa draw yao faida kwetu
Maji ya upako 😂 😂Umelewa Nini bwashee 😂
Hesabu za wapi hizi?sio point 4 ni 5 = 32 to 37
Unateseka ukiwa pub ipi ?kama bila taulo
Drooo tamu maan tunawaacha mbaliiii kwa pointMkitaka kusemaje kwani?
migombaniHesabu za wapi hizi?
Haka ni kaugonjwa ka utani wa jadi tu Mtani na hakatibiki kamwe ndo sababu hata jana Mashujaa walivyokomboa mlitamani game iishie vile. 😀😀Asante mtani, mnaongoza Ligi ila bado mnaumia sisi kutoa draw, mbona mna wasiwasi hivyo [emoji3][emoji3]
Yanga kaizidi Simba point 4 sio 5 kama unavyopotoshamigombani
Ulitaka amuwekeee Nani SAS mkuKutaka m cost BENCHIKA ni kung'ang'ania SAIDOO..
Ana juhudi , sawa lakini hana talents za kutosha ..
Faulu wanang'ang'ania yeye, kona yeye...98% hazina impact...
Hata faulu ya goli la CHAMA , ingekuwepo SAIDO ndani angengangania kupiga...
Kama kocha haoni vile
Mi kama chogo muda wote nipo ila ukigeuka kwa lengo la kutaka kuniona hunioni
Unaesab point hujazipata bado [emoji23]Yanga kaizidi Simba point 4 sio 5 kama unavyopotosha
Sasa hapo kwa mujibu wa halmshauri ya ubongo wako kinachoonekana hapo ni gape la point 5???Em soma apoView attachment 2898813
Unapunguza point ambazo hazijapotezwa badoUnaesab point hujazipata bado [emoji23]
Sahihi Kabisa, kama mmojawapo angechukua point 3 ingemjengea presha kubwa sana Yanga maana kila mmoja anammendea mwenzakeNimekuja kugundua Droo Imekua bora kwa Yanga kuliko Azam angepata point 3
kugawana point moja moja kumeifanya yanga ipae mbele kwa point nyingi
VP MATOKEO FULL TIMEPamba...fuuuu!
Mbona kagoli kenyewe kamoja tu kwani mimba tayari?
Acha kelele mvuta bangi. Tangu lini wavuta bangi wakaongea kitu chenye maana.TOPU SCOLA na GOLDENI BUTI lazima acheze bhana
Ali sikika mlevi mmoja pale Msimbazi