Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Simba acheni ujinga mnajua tumeweka hela nyingi kwenye kubet
We kata uno huku ukiimba faivu tano itano ukichokaa nenda kalale mwimba taarabu wahedGado na tano wapi na wapi[emoji2772][emoji2772]
Ndio mchezo wake huo uchambuzi wa bao una tokana na uzoefuWachezaji wa Simba hao
Kwanini hutamani tupigwe nyingi?yamegogwa tena msimu huu tunatangaza ubingwa tukiwa na pointi 50+ tu... kazi kwenu azam, mkikutana nayo haya makolo msiyapige nyingi ila mhakikishe pointi tatu mnaziweka kibindoni.
😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23]
Nacheka kama mazuri vile,
Hapana ni mazuri bana[emoji23][emoji23]
Alivyoelezea jamaa siyo mwenzetu ni mashine yenye engine nyumaBila shaka haya maelezo ya experience
@Moderator safisha huu uziKama wamemwagiwa Bao la moto ktk mfereji wa matako. Alafu bao limekauka sasa linawawasha
Pana bby....Usinikoti kwny koment za watu twafwaadhali...anionee huruma kwani nimeomba msaada??
Timu la CAF na Wenger [emoji2772][emoji2772] ngufu moyaKu
We kata uno huku ukiimba faivu tano itano ukichokaa nenda kalale mwimba taarabu wahed
AahaaaaaaNa kweli Hilo lijama hashindwi kumzingizia mtu uongo
Sasa HV katulia hapo kawe beach anasikiliza kwenye kiredio kabla ya kwenda kuwabaka waogeleaji wanaojifunza
Mie nipo nadhani tunapishana tu.Miaka mingi sis not see you
Mechi yai na Azam lini?yamegogwa tena msimu huu tunatangaza ubingwa tukiwa na pointi 50+ tu... kazi kwenu azam, mkikutana nayo haya makolo msiyapige nyingi ila mhakikishe pointi tatu mnaziweka kibindoni.
yaah atakua mzoefu huyuBila shaka haya maelezo ya experience
Liko kawe beach SAS HV anavisia wanao jifunza kuogelea akawananiliiii....GENTAMYCIME anaturogea team yetu kakote aliko wpigwe mawe
Duh, mbona kama hakuna tofauti??!!Leo mambo ni mawili tu. Simba afungwe na Namungo ama Namungo amfunge Simba