Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
š¤£š¤£Wamejificha si ajabu uzi huu wasichangia ,ikifika page ya tano bila Kolo kujitokeza nitakuwa nitafikiria Ofa ya kutoa buku tano kwa kila post ya kolo humu ..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
š¤£š¤£Wamejificha si ajabu uzi huu wasichangia ,ikifika page ya tano bila Kolo kujitokeza nitakuwa nitafikiria Ofa ya kutoa buku tano kwa kila post ya kolo humu ..
Tatu uwezo anaoWhatever...
Refa hana uwezo wa kuamua matokeo.
Mbungi litapigwa
Alipopigwa tano za kwenye mshono, mnyama alikuwa popo ?Mnyama ni mnyama ushindi leo upo
Sasa jana umeshangilia uto ukaacha timu ya nyumbaniKila la heri Namungo Fc
Wewe popo naye ni mnyama kama churaAlipopigwa tano za kwenye mshono, mnyama alikuwa popo ?
Mnyama asiyeelewekaWewe popo naye ni mnyama kama chura
Na nyie mlipopigwa tano Utopolo ulikua kiporo??Alipopigwa tano za kwenye mshono, mnyama alikuwa popo ?
Wa kwanza ki vipi?Namungo wana bahati mbaya sana, sijui nani amewatuma wawe wa kwanza kukutana na Simba Sc..
Kazi wanayo. Nguvu Moja.
Hii ni sawa na mechi ya Chama cha Mapinduzi na ACT WazalendoMatch Day!
Simba SC Vs Namungo FC
View attachment 2808440
ā 04:00pm
šļø Uhuru Stadium.
Namungo anakutana na mnyama aliyejeruhiwa.
All the Best Simba.
#Nguvumoja#