FT: Simba SC 1-1 Namungo FC | NBC Premier League | Uhuru Stadium | 09.11.2023

FT: Simba SC 1-1 Namungo FC | NBC Premier League | Uhuru Stadium | 09.11.2023

Moto utawawakia leo
Screenshot_20231109-132028.jpg

Sawa
 
Namungo kama kawaida msimu huu,sisi kazi yetu ni kwafungulia njia nyie mnakuja kuteleza. Tulianza kwa Azam mkaja mkampiga, Simba nae tayari tushamtoa bikra sasa leo mpite mule mule kama ilivyokuwa kwa Azam.
 
Namungo kama kawaida msimu huu,sisi kazi yetu ni kwafungulia njia nyie mnakuja kuteleza. Tulianza kwa Azam mkaja mkampiga, Simba nae tayari tushamtoa bikra sasa leo mpite mule mule kama ilivyokuwa kwa Azam.
Usikimbie uzi
 
Kila la kheri Mnyama.
Nimeoteshwa kuwa Leo Baleke ataingia kunyavu mara tatu
 
Nashauri BALEKE apewe muda wa kutosha ktk pitch, huyu jamaa analijua goli.

Ikibidi sub ya PHIRI, basi iwe kwa SAIDOO
 
Back
Top Bottom