Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,963
- 13,287
Ilikuwa propaganda kupunguza vurugu kwa makolo kwamba yanga Hana uwezo wa kumpiga 5 ila ni tushwa sasa wameumbukaMbona waliouza mechi wamepangwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilikuwa propaganda kupunguza vurugu kwa makolo kwamba yanga Hana uwezo wa kumpiga 5 ila ni tushwa sasa wameumbukaMbona waliouza mechi wamepangwa?
Kwa kuwa ni wenu au sio?Hakuna kingine zaidi ya ushindi.
Namungo atake atafungwa, Asitake atafungwa.
Hakuna namna!!
Labda njaa na kwa msaada wa marefaSimba anashinda mapema tu.
Kama Namungo wataamua kuwa watiifu wa kusawazisha hali ya hewa iliyopo msimbazi. Bila hivyo mechi ngumu hasa ukiangalia approach waliyoingia nayo dhidi ya Yanga. Walipaki basi haswa Japokuwa kocha alikuwa mwingine.Simba anashinda mapema tu.
Pigeni hili nyau ban..
Naona kikosi kile kileMatch Day!
Simba SC Vs Namungo FC
⌚ 04:00pm
🏟️ Uhuru Stadium.
Namungo anakutana na mnyama aliyejeruhiwa.
View attachment 2808770
Kikosi cha Simba kinachoanza dhidi ya Namungo
View attachment 2808804
Kikosi cha Namungo Kinachoanza
All the Best Simba.
#Nguvumoja#
AnanyonyeshaMnyama asiyeeleweka
Mkuu ni kweli wote wapo?Wachezaji wote aliosema Selemani GENTAMYCINE kuwa wamesimamishwa wapo kwenye kikosi, Moderator , Paw , YinYang futeni haraka ule Uzi wa unaochafua watu.