FT: Simba SC 1-1 Namungo FC | NBC Premier League | Uhuru Stadium | 09.11.2023

Tunakupenda mnyama tunyamazishie midomo mirefu utopolo...
Wana midomo kama ma shangazi...
 
Wamejificha si ajabu uzi huu wasichangia ,ikifika page ya tano bila Kolo kujitokeza nitakuwa nitafikiria Ofa ya kutoa buku tano kwa kila post ya kolo humu ..
Uongo huu
 
Namungo wana bahati mbaya sana, sijui nani amewatuma wawe wa kwanza kukutana na Simba Sc..

Kazi wanayo. Nguvu Moja.
Wanakutana na Simba aliyejeruhiwa.
Ni hatari
 
No inonga,chama,baleke,kapombe.
Namungo pelekeni moto moto kisawa sawa hali iwaendelee kuwa vibaya mtaani.
 
Hii game viongozi wa simba hawawezi kubali kupoteza kwa ajili ya kilurudisha imani kw mashabiki,tena wanashinda gori nyingi[emoji3578]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…