Yoav Gallant
JF-Expert Member
- May 23, 2023
- 2,122
- 4,699
Na iwe hivyoEeeeeeeh mungu baba ikikupendeza liwapate lolote baya......Amen
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na iwe hivyoEeeeeeeh mungu baba ikikupendeza liwapate lolote baya......Amen
Unanichonganisha na watu mkuu🤣🤣 Mpetde
Acha wakapumzike waje warudi na moto kama wa Yanga
Hana nguvu tena za kuwindaMasikini simba
Eh.. Eh..Acha wakapumzike waje warudi na moto kama wa Yanga
Usihangaike na jangwani old taarabu, waache waimbe ili wapate hela ya juisi then usiku watalala, Simba yetu ipo gado siku zote.Dua la kuku halimpati mwewe wanga wakubwa nyie....
😅😅[emoji23][emoji23][emoji23]wapi ayubu akeee[emoji2772][emoji2772]
Mpaka mashabiki tumezidisha upole[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hadi mashabiki Mkuu?
Anasema eti PM Majaliwa ametoa maelekezo kwa refa ili Simba ifeGentamycine anasemaje kwani
Atakuja kuwalaumu kina matola Tena baadae kwenye nyuz zake
Hana nguvu tena za kuwinda