Jobless_Billionaire
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 3,106
- 8,101
Kweli waache ujinga. Maana nilimpa Namungo and Over 1.5.Simba acheni ujinga mnajua tumeweka hela nyingi kwenye kubet
Wanatakiwa wapigwe jingine mikeka itiki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli waache ujinga. Maana nilimpa Namungo and Over 1.5.Simba acheni ujinga mnajua tumeweka hela nyingi kwenye kubet
Ukuta wa Yericko umetuangusha saana.Simba hatuna team kabsa kuanzia wachezaji viongozi mpaka mashabiki ni majanga
Mnyama kapigwa tranquilezer ma wauaji wa kusiniMji umetulia sana kwani Kuna nn wakuu
Gado na tano wapi na wapi[emoji2772][emoji2772]Usihangaike na jangwani old taarabu, waache waimbe ili wapate hela ya juisi then usiku watalala, Simba yetu ipo gado siku zote.
Sijajua kwanini hatuna alternative. Ni as if mafanikio ya Simba lazima yatoke kwa hiyo mid field na hakuna alt plan pale wanapofeli. Kinachoogopesha ni kuwa ni wachezaji wenye umri mkubwa na wasio na msaada pale tunaposhambuliwa. Ni wazuri tukiwa tunashambulia na wapinzani wamechoka au ni wachovu.Kabisa..
Kama wamemwagiwa Bao la moto ktk mfereji wa matako. Alafu bao limekauka sasa linawawashaKwani mechi imeisha?? Mbona mnakua kama mmemwagiwa upupu???
Wakuu nimekuwa mbali kidogo na uwanja + tv
Wakirudi baada ya half time,wanaweza wakaongezwa.Muda bado sana usikate tamaatani mpira unadunda
Timu inacheza utafikiri wachezaji wana mabushaGentamycine anasemaje kwani
Atakuja kuwalaumu kina matola Tena baadae kwenye nyuz zake
Nli copy mkeka wakoKweli waache ujinga. Maana nilimpa Namungo and Over 1.5.
wanatakiwa wapigwe jingine mikeka itiki
Wachezaji wa Simba haoKama wamemwagiwa Bao la moto ktk mfereji wa matako. Alafu bao limekauka sasa linawawasha
Na kweli Hilo lijama hashindwi kumzingizia mtu uongoAnasema eti PM Majaliwa ametoa maelekezo kwa refa ili Simba ife
FYI:
PM ni kolo kindakindaki
Yaani huyo Muhindi anavumilia hasara?...thubutu.....Simba imebakiza mashabiki tu. Siku mashabiki wakichoka ndio mwisho wake. Wachezaji hamna na viongozi hamna. Na mwekezaji anayelipa kila siku anapata hasara lakini haondoki.
Tumekula mkuu. Kiungo DONKEY ashatepeta hukoNli copy mkeka wako
Bila shaka haya maelezo ya experienceKama wamemwagiwa Bao la moto ktk mfereji wa matako. Alafu bao limekauka sasa linawawasha