FT: Simba SC 1-1 Namungo FC | NBC Premier League | Uhuru Stadium | 09.11.2023

FT: Simba SC 1-1 Namungo FC | NBC Premier League | Uhuru Stadium | 09.11.2023

Simba imebakiza mashabiki tu. Siku mashabiki wakichoka ndio mwisho wake. Wachezaji hamna na viongozi hamna. Na mwekezaji anayelipa kila siku anapata hasara lakini haondoki.
Kwani leo si ameanzishwa mlinda mlango Ayubu mwenye thamani ya shilingi bilioni 3!! Achilia mbali mastaa kama Chama, Baleke, Onana, na wengineo wengi!! Halafu unasema wachezaji hamna!

Ukija kwa viongozi, ndiyo usiseme!! Juzi kati tu hapa mwekezaji ameunda jopo la wajumbe 21 wa kumshauri!! Tena ni jopo la watu wazito kweli kweli!!

Kwa upande wa Mwenyekiti Mangungu nako ndiyo usiseme! Mwaka wa jana alishinda kwa kishindo baada ya kumleta kutoka China, Caesar Manzoki siku uchaguzi kuwasalimia wapiga kura!!
 
Kwani leo si ameanzishwa mlinda mlango Ayubu mwenye thamani ya shilingi bilioni 3!! Achilia mbali mastaa kama Chama, Baleke, Onana, na wengineo wengi!! Halafu unasema wachezaji hamna!

Ukija kwa viongozi, ndiyo usiseme!! Juzi kati tu hapa mwekezeja ameunda jopo la wajumbe 21 wa kumshauri!! Mwenyekiti Mangungu ndiyo usiseme. Mwaka wa jana alishinda kwa kishindo baada ya kumleta kutoka China, Caesar Manzoki siku uchaguzi kuwasalimia wapiga kura!!
Aahhaaaa


Eti Manzoki
 
Match Day!

Simba SC Vs Namungo FC
⌚ 04:00pm
🏟️ Uhuru Stadium.


Namungo anakutana na mnyama aliyejeruhiwa.

View attachment 2808770
Kikosi cha Simba kinachoanza dhidi ya Namungo

View attachment 2808804
Kikosi cha Namungo Kinachoanza

All the Best Simba.
#Nguvumoja#

Mchezo umeanza
10' Simba wanaonekana kuwa na presha ya kutafuta matokeo
20' Presha ni kubwa kwa Simba ambao wanaonena kukosa utulivu wanaposhambulia
29' GOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
Reliants Lusajo anaipatia Namungo goli la kwanza baada ya walinzi kudhani ameotea, anamchambua kipa
34' Bado mambo ni magumu kwa Simba
Sasa hivi hapa nimekutana na Robertino anachekea chooni
 
Kwani leo si ameanzishwa mlinda mlango Ayubu mwenye thamani ya shilingi bilioni 3!! Achilia mbali mastaa kama Chama, Baleke, Onana, na wengineo wengi!! Halafu unasema wachezaji hamna!

Ukija kwa viongozi, ndiyo usiseme!! Juzi kati tu hapa mwekezaji ameunda jopo la wajumbe 21 wa kumshauri!! Tena ni jopo la watu wazito kweli kweli!!

Kwa upande wa Mwenyekiti Mangungu nako ndiyo usiseme! Mwaka wa jana alishinda kwa kishindo baada ya kumleta kutoka China, Caesar Manzoki siku uchaguzi kuwasalimia wapiga kura!!
Mnajua kuwakera..
Msiue lkn
 
Itikia chorus ya taarabu yako Uto [emoji16]
Timu la Super League
giphy.gif
 
Back
Top Bottom