FT: Simba SC 1-1 Namungo FC | NBC Premier League | Uhuru Stadium | 09.11.2023

FT: Simba SC 1-1 Namungo FC | NBC Premier League | Uhuru Stadium | 09.11.2023

20231108_221031.jpg

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😁😁😁😁😁
 
Hiyo mihemko mliyonayo utopolo round ya pili mtatafutana msijue mlikopotelea... mmezoea kuishi kwa kukariri.. afashali mnyama niharibu round ya kwanza kuliko ya pili...

Nguvu Moja.
Mbona kama unajifariji mkuu? Yani round ya kwanza ambayo wachezaji Wana nguvu, mnasua sua... Hiyo round ya pili wataweza? Au mtasajili timu nzima?
 
Mbona kama unajifariji mkuu? Yani round ya kwanza ambayo wachezaji Wana nguvu, mnasua sua... Hiyo round ya pili wataweza? Au mtasajili timu nzima?
Mambo ya nguvu yanatoka wapi mjomba, aliyekwambia wachezaji wa Simba watachoka round ya pili nani?

Kaeni mtulie acheni wenge
 
Match Day!

Simba SC Vs Namungo FC
[emoji355] 04:00pm
[emoji2522] Uhuru Stadium.


Namungo anakutana na mnyama aliyejeruhiwa.

View attachment 2808770
Kikosi cha Simba kinachoanza dhidi ya Namungo

View attachment 2808804
Kikosi cha Namungo Kinachoanza

All the Best Simba.
#Nguvumoja#

Mchezo umeanza
10' Simba wanaonekana kuwa na presha ya kutafuta matokeo
20' Presha ni kubwa kwa Simba ambao wanaonena kukosa utulivu wanaposhambulia
29' GOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
Reliants Lusajo anaipatia Namungo goli la kwanza baada ya walinzi kudhani ameotea, anamchambua kipa
34' Bado mambo ni magumu kwa Simba

MAPUMZIKO

74' Matokeo bado ni yaleyale, Simba wanafika langoni kwa Namungo lakini hakuna mafanikio
75' GOOOOOOOOOOOOOOOOOO
Baleke anasawazisha goli kwa Simba akimalizia pasi ya Moses Phiri

90' Zinaongezwa dakika 4
Full Time
sasa mbona wamecheza wachezaji wanaodaiwa kuchomesha?
 
Back
Top Bottom