ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Subirini hio round ya pili mkiwa na gape la point 9Mambo ya nguvu yanatoka wapi mjomba, aliyekwambia wachezaji wa Simba watachoka round ya pili nani?
Kaeni mtulie acheni wenge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subirini hio round ya pili mkiwa na gape la point 9Mambo ya nguvu yanatoka wapi mjomba, aliyekwambia wachezaji wa Simba watachoka round ya pili nani?
Kaeni mtulie acheni wenge
Kwani kinachowatesa sasa hivi ni kipi? Mara chama mvivu, Saidoo hakabi nk, shida nini kama sio nguvu?Mambo ya nguvu yanatoka wapi mjomba, aliyekwambia wachezaji wa Simba watachoka round ya pili nani?
Kaeni mtulie acheni wenge
Huu upepo tu ndio unapita hivyoooSimba ni mbovu sio mbovu??
Shida yenu ndio hii...Subirini hio round ya pili mkiwa na gape la point 9
Polee sana mtaniHuu upepo tu ndio unapita hivyooo
Nguvu kitu gani nani aliyekwambia Simba kuna uhaba wa msosi we chura?Kwani kinachowatesa sasa hivi ni kipi? Mara chama mvivu, Saidoo hakabi nk, shida nini kama sio nguvu?
Na hapo bado CL haijaanza, mtaomba po. Kadiri siku zinavyozidi kwenda, atajulikana nani mwenye wenge
Hahahaaa ndio ndio mpaka waseme Swahiba.Bado hamjasema yan mpaka msemee
Hii CL ndio naisubiri kwa hamu sana, mkalegezwe na wale waarabu wawili mliopangiwa hili wenge mlilonalo sasa likate, af mrudi kwenye ligi na kizunguzungu round ya piliKwani kinachowatesa sasa hivi ni kipi? Mara chama mvivu, Saidoo hakabi nk, shida nini kama sio nguvu?
Na hapo bado CL haijaanza, mtaomba po. Kadiri siku zinavyozidi kwenda, atajulikana nani mwenye wenge
Hahahaaa. Na kwenye hizi nyuzi Swahiba hapitagi kabisa yaani. 😂View attachment 2808950
Swahiba fanya mpango hii jezi tumpatie mtani wako popoma
Niko gado balaa.. hapa ndio nimeanza kujitafuta kwa hiyo pointi moja..Polee sana mtani
Yaani Yanga leo hii mchanga kwa Simba,umezaliwa lini,Yanga anaongoza kwa ubingwa,kukufunga mechi nyingi na magoli mengi kuliko timu yoyote Dunia leo hii unasema mchana? Kweli kipigo cha goli tano kimewalevya.Nyie bado wachanga sana kwenye haya mambo.. tulieni hivyo hivyo iko siku hamtaamini kitachotokea
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!5IMBA HII NDO YAKWENDA TAKUKURU KULALAMIKA
Ata wao TAKUKURU watacheka Sana
Mtanena kwa lugha mwaka huu. Endelea kuwa mpole, muda utakuonesha kama mna uhaba wa msosi au wa pension.Nguvu kitu gani nani aliyekwambia Simba kuna uhaba wa msosi we chura?
SamalekoooKalpana salimia watu View attachment 2808952