Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
🤣🤣🤣🤣Umesahau na zile 4 kama.mara mbili hivi...
Watuache tuu wapambane wakanywe supu yao ya vibudu jpili...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Umesahau na zile 4 kama.mara mbili hivi...
Watuache tuu wapambane wakanywe supu yao ya vibudu jpili...
Wewe kaa na records zako sisi tunataka ubingwa last season mlikua mnatafta kiatu ndio maisha mliyo chaguaYanga nilimgonga 6-0 mpaka leo hajawahi kuzirudisha..
Juzi tu hapo nikamgonga 5-0 mpaka leo hajawahi kugusa hiyo rekodi..
Utopolo wachanga tu kwa mnyama taka usitake, mnasumbuliwa na wenge tu kwa sasa
Umevurugwa sio bure,eti point 1Niko gado balaa.. hapa ndio nimeanza kujitafuta kwa hiyo pointi moja..
Baada ya hapo gari ikipata moto mtajuta na wenge lenu
Hasira za 5imbaYaani mijaa haiwezi kutaniana bila matusi na kashfa
Pole ya nini mtani wangu mzuri?? Yani hata hapo tuu nawapongeza sana....maneno yawavuruge...wanafiki wwawachonganishe hao hao...ki.uhalisia ww unadhani ni ajee??Polee sana mtani wangu
Kuna uwezekano msipo kaaa sawa mkamaliza ligi mkiwa nafasi ya 3Niko gado balaa.. hapa ndio nimeanza kujitafuta kwa hiyo pointi moja..
Baada ya hapo gari ikipata moto mtajuta na wenge lenu
Imekula kwao mazimaaaa hahahah!Kaka unajipa imani wakati mnatimu mbovu sana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Pole ya nini mtani wangu mzuri?? Yani hata hapo tuu nawapongeza sana....maneno yawavuruge...wanafiki wwawachonganishe hao hao...ki.uhalisia ww unadhani ni ajee??
Wanajipa imaniImekula kwao mazimaaaa hahahah!
Furuuuuu makasirikoooo wana thiiiiiimbaaaaa buanaaa🥴🥴🤣
Una roho ngumuPole ya nini mtani wangu mzuri?? Yani hata hapo tuu nawapongeza sana....maneno yawavuruge...wanafiki wwawachonganishe hao hao...ki.uhalisia ww unadhani ni ajee??
Wanajikaza tu hapo mioyo ishakufa ganziiii soon wanaparalaizii🤠🤠🤠🤣!Wanajipa imani
Na wanatukana sana inabidi moderator wawapige banned 😂Last warning ⚠️: wana yanga kitu kikubwa ni kuwa makini na mashabiki wa simba hawashindwi kukufanyia shambulio la kudhuru mwili.
Tena mngekuwa karibu maji ya samaki yangewahusuNa wanatukana sana inabidi moderator wawapige banned 😂