Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Naona 🐸🐸🐸wametamalaki kwa huu uzi.
Ni suala la muda tu mtaondoka wenyewe 🐸🐸🐸
Ni suala la muda tu mtaondoka wenyewe 🐸🐸🐸
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooh! Kumbe.Mnyama....
Ukweli na uhakikaWeeee. Apiia. 🤣🤣
Hakuna tofauti mnayoifanya MKuuUKICHAA NI NINI? UKICHAA NI KUAMINI PRISON WANAEZA KUSHIKILIA BOMBA
Kina nanPigaa haooo
Haya basi tunaondoka..Naona 🐸🐸🐸wametamalaki kwa huu uzi.
Ni suala la muda tu mtaondoka wenyewe 🐸🐸🐸
Khaaa.Watakula 5 leo
Watarudisha hili😂😂😂😂😂 lol.
Mkuu Sijui kwa nini na mimi nimepata kicheko kikali namna hii. Teh teh.
Dakika ya ngapi mkuuKhaaa.
Tukitoka hapa ujue Match imeishaNaona 🐸🐸🐸wametamalaki kwa huu uzi.
Ni suala la muda tu mtaondoka wenyewe 🐸🐸🐸
Dkk ya 55 Mkuu.Dakika ya ngapi mkuu
Duh bado dakika nyingi, bora refa abanwe na tumbo la kuharisha awahi kumaliza mechi.Dkk ya 55 Mkuu.