Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenzio wamekuacha peke yako huko wanajipoza kwanza na panadol kisha ndo waje kubwabwaja. 🤣🤣Mmeanza wadau.
Tutulize Pressure
Nipigwe ban Maisha yangu yote mkiifunga Prison 5 we unadhani Prison hii ni mdebwedo hawa wako smart...Nawakumbusha tu game ya mzunguko wa Kwanza walitangulia Hawa Prisons kwa goli la mapema kabisa.
Ila mwisho wa game walikula 3 hawa.
Leo watakula 5.
Tuambie amuweke Nani [emoji2957]Kwanini huyu kocha hajapanga kikosi chetu kilichomfunga galaxy 6.
Kocha kaniuzi sana
Wakichomoa tu kinaacha mlendaManula hata kutokea kidogo kashindwa.Haya kidude hiko kazi kwenu kukichomoa.
Well Noted 😃Nipigwe ban Maisha yangu yote mkiifunga Prison 5 we unadhani Prison hii ni mdebwedo hawa wako smart...
Baada ya Yanga timu inayocheza soka Safi Kwa sasa ligi kuu n Prison na hizo butua butua zenu Leo mtalowa [emoji23][emoji23][emoji23]
Haamini anachokiona Prison wanacheza fantastic soka utazani hua wanafanyia training Avic Town [emoji28][emoji81]Wenzio wamekuacha peke yako huko wanajipoza kwanza na panadol kisha ndo waje kubwabwaja. [emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji102]Ukiachana na mapenzi, hakuna raha nyingine nnayopata kama kuona Simba akipata matokeo mabaya.
Labda kushinda njaa Mtani. 😜😜Hakuna shida.
Tutashinda hii
Tulia upakatwe na wajeda [emoji16]Ghafta nyuma mwiko zimejazana humu kunani?