Nimebet hebu tulieni kwanzaNdio hao walimpiga mtu 6
Wanataka kuleta balaa saa hizi.Hawa Tanzania Prisons wanazingua kucheza fauls eneo la hatari.
Mnamuweka benchi siku zote mtegemee acheze vizuriManura ni takataka hafai kuanza golini
Pole Mtani wangu.Nimeanza kuamini simba ndio timu pekee Tanzania isiyotumia uchawi, mechi za kimataifa ambazo hakuna Uchawi wanacheza vizuri na wanapata matokeo kulingana na walivyocheza ila mechi za ndani hata hauelewi inakuwakuwaje, yaani ni mauzauza tu haiwezekani timu iweze kuifunga wydad halafu ishindwe kuifunga prisons shida siyo kikosi lazima tu kuna namna hapa
Simba wana utoto ngoja tufungwe hadi akili zijeMorogoro sio uwanja wa nyumbani. Bora mwende Azam
Mi naumiaHata siumii