Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Uzi Unachekesha Sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hoja japo Scars ni mbishi sana kuelewa hiiiChama Cha mapinduzi Leo kipo uwanjani kweli? Tunaposemaga ni mchezaji wa mechi dhaifu dhaifu uwa tunapingwa vipi Leo kiwango Cha kwenye mechi ya jwaneng kimepotelea wapi?
Oke. 🤝Belouzdad wananitambua vyema. Zile 4 ziliwatosha.😁
Uhakika goli 4 bila bado 2Tunashinda goli 4 bila
Imefika ya 77 sasa Mkuu.Duh bado dakika nyingi, bora refa abanwe na tumbo la kuharisha awahi kumaliza mechi.
Uko vizuri Mkuu.Prisons watapiga cha pili hapa.
Daah refa analize mpira bhana wengine tunakaa mbaliImefika ya 77 sasa Mkuu.
Kambaa ya mbuzi, kondooChamaaaaaaaaaa kambaaaaa
Imagine Morogoro hadi ChanikaDaah refa analize mpira bhana wengine tunakaa mbali