kampelewele
JF-Expert Member
- Oct 13, 2014
- 2,975
- 2,370
Huyu kaka yako aliiga tembo kunya si akapasula msamba! Ilikuwa hivi, alitangaza kuwa anamiliki jimbo moja hapa JF katika uzi huu New Couple in Town! I love you so much! Tukampongeza sana.Jamani wewe 😃😃, unajua sikuwepo nisimulie kwanza
Lakini tukasituka wana jimbo hawakujitokeza ili wathibitishe hili suala, lakini hola. Tunafuatilia kwa karibu comments za wanajimbo lakini mpaka sasa hola. Yamwisho ni hii
Kama nyama ni ilele, kwanini wanawake wengi hupenda wanaume wenye uume mkubwa?
Ukubwa au udogo wa uume hutegemea unakutana na uke wa aina gani,utakutana na mwanamke ameumbwa uke unabana mnato ukishiriki nae utaonekana una kubwa inakamata kona zote. Mwanaume huyo huyo akishiriki na mwanamke mwenye "fuko la rambo" ataonekana kibamia, hivyo mi muhimu size ya maumbile...
Kwa maana hiyo alitunga kama walivyo jamaa zetu. Ningekuwa mimi ningebadili hata ID.