FT: Simba SC 1-2 Tanzania Prisons | NBC Premier League | Jamhuri Stadium | 06.03.2024

FT: Simba SC 1-2 Tanzania Prisons | NBC Premier League | Jamhuri Stadium | 06.03.2024

Kwahiyo siku hizi mpaka droo munaivalia kibwebwe!

Chamsingi, mushachezea kichapo na tuko mbele yenu kwa idadi ya point 7, hivyo TFF watupe tu kombe letu.
Tulieni mna mechi 2 mtadroo moja mtapigwa...
 
Ukiachana na mapenzi, hakuna raha nyingine nnayopata kama kuona Simba akipata matokeo mabaya.
 
Simba hakuna timu pale,Wakikutana na Yanga kwa mpira huu watakula hata kumi

Simba mpaka uchawi
Kwa hiyo kwa tafsiri yako timu nzuri ni ile ambayo inashinda kila mechi si ndio?

Pengine hiki ndio kitu ambacho kinapaswa kuchukuliwa kama mfano wa kuigwa kuwa hata timu pinzani pia zinauwezo wa kupata ushindi.

Kuliko kuzihujumu kwa kukataa magoli halali ambayo yametafutwa kwa jasho na damu.

Hata tukifungwa mechi inayofuata itabaki kuwa furaha kwako lakini haitamaanisha kuwa timu bora haifungwi.
 
Benchinka usiondoke Tanzania mpaka ukutane na [emoji360][emoji2785] na pakome [emoji113][emoji123][emoji113][emoji3448][emoji172][emoji91][emoji91]
 
Hawa prison wana bahati chama hakuwepo Leo

Aliskika Scars akiongea huku anakunywa balimi
Inter Miami kabla ya Messi

Screenshot_20240306-221745.png


Inter Miami baada ya Messi

Screenshot_20240306-221635.png


Lakini unaweza kujiuliza kwanini pamoja na kwamba anapoteza mechi na kushindwa kuisadia timu yake dhidi ya timu ndogo bado anaendelea kuhesabika kama mchezaji bora?

Ukijibu hilo swali utakuwa umethibitisha kwanini Manara hapaswi kuomba radhi kwa ile kauli yake
 
Inter Miami kabla ya Messi

View attachment 2926531

Inter Miami baada ya Messi

View attachment 2926530

Lakini unaweza kujiuliza kwanini pamoja na kwamba anapoteza mechi na kushindwa kuisadia timu yake dhidi ya timu ndogo bado anaendelea kuhesabika kama mchezaji bora?

Ukijibu hilo swali utakuwa umethibitisha kwanini Manara hapaswi kuomba radhi kwa ile kauli yake
Mifano miwili isiyofanana.
Hiyo inter miami yenyewe mchezaji clinical ukimtoa messi hawa wanne hawafiki,pia messi ni mtu wa rekodi za juu hiyo inter miami keshaipa kombe mara tu alipoingia.
Tafuta mfano mwingine aisee usimtukanishe MESSI.
 
Mifano miwili isiyofanana.
Hiyo inter miami yenyewe mchezaji clinical ukimtoa messi hawa wanne hawafiki,pia messi ni mtu wa rekodi za juu hiyo inter miami keshaipa kombe mara tu alipoingia.
Tafuta mfano mwingine aisee usimtukanishe MESSI.

Katika wafungaji bora wa muda wote CAF Chama yupo, utasema hizo sio takwimu za kumfanya awe na rekodi za juu?

Kwani Chama hajawahi kuipa kombe Simba?
 
Back
Top Bottom