Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Tulieni mna mechi 2 mtadroo moja mtapigwa...Kwahiyo siku hizi mpaka droo munaivalia kibwebwe!
Chamsingi, mushachezea kichapo na tuko mbele yenu kwa idadi ya point 7, hivyo TFF watupe tu kombe letu.