granitized
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 3,249
- 7,948
rudia tena tafadhaliTutawapiga kama mbwa koko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
rudia tena tafadhaliTutawapiga kama mbwa koko
Mkuu inawezekana ni opinions tu hizi.......... evidence ni muhimu sana kuliko hizi hearsay 😔Huyo aziz kashakula matobo kama yote..au unataka picha? Na huyo jujui jiara ya kutosha unataka picha?
Au kwa sbb sisi huwa hatuoni kama ni habari maana mpira hauna macho...
IHEFU 2 YANGA 1Kuna watu walifikiri Prisons na wenyewe wanalea vitambi kama wale vibonde Jwaneg Galaxy! Kilichowakuta, ni aibu juu ya aibu. 😁
Weeee apiaaaHawa tuwaonee huruma kidogo wale walau 4 kavu
Eti eeeehhhTutawapiga kama mbwa koko
Weeee apiaMuue Prison kwasababu lazima afe.
Atake asitake.
Yani kama panya vile, mechi na Jwaneng galax walivyo shinda walitokeza vichwa nakunza kuchonga, leo wamechezea kichapo wote wamerudi ndai ya mashimo yao wote.Mda wa kurudi mafichoni
Tupo msibani kwa kolokolo huyo lamba lamba hana issue.Azam kapigwa hukuuu
Atakuja kutuchomea nchi huyu.. akatazwe 🤣🤣Huo mkaa nakuona mwaka wa 10 huu sasa unauchoma tu 😂😂
Wananchi tupewe kombe letu mapema.FT
Azam 1 - 1 Coast Union
Next Game
20:15
Dodoma Jiji Vs Tabora United...
Tulianza kufungwa na Ihefu, ndipo hasira zetu tukazieleka kwenu na kuwapasueni bao tano, acha kujisahaulisha.Washenzi hao jwaneng...kwahyo na nyie mlivyotufunga mlipoenda Ihefu mkala 2 kwa 1 mlikua mmetuloga?
basi sawa...kwahyo...ile droo kule kagera vipi..Tulianza kufungwa na Ihefu, ndipo hasira zetu tukazieleka kwenu na kuwapasueni bao tano, acha kujisahaulisha.
Duuhrudia tena tafadhali
Weweee au basi...Kalpana huna akili ushabiki umekuziba macho🤣
Kwahiyo siku hizi mpaka droo munaivalia kibwebwe!basi sawa...kwahyo...ile droo kule kagera vipi..