mtzedi
JF-Expert Member
- Dec 13, 2011
- 5,983
- 6,171
Ndo furaha mmebaki nayo Simba akifungwa,huo mwiko ndo unawasumbua hamtulii mnarukia yasiyowahusu.Kwa hiyo simba uwezo wake unaonekana wasipokamia? Akili za makolo bwana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo furaha mmebaki nayo Simba akifungwa,huo mwiko ndo unawasumbua hamtulii mnarukia yasiyowahusu.Kwa hiyo simba uwezo wake unaonekana wasipokamia? Akili za makolo bwana
Karma is a bitchView attachment 2925763
Kikosi Cha Simba Kinachoanza Leo.
View attachment 2926137
Kikosi Cha Tanzania Prisons Kilichoanza leo.
View attachment 2926220
Updates
Dakika ya 45+3
Tanzania Prisons wanapata Goli kipitia kwa Samson Mbangula.
HT
Simba 0-1 Tz Prisons.
Kipindi cha Pili Simba wanafanya Mabadiliko.
Mzamiru Out
Saido Inn
Kibu D Out
Chasambi Inn
Freddy Out
Pa Omari Jobe Inn.
Dakika ya 62'
Goal kwa Prisons
Mbangula tena.
Dakika 90'
Goaaaaaaaaalllll
Ñgomaaa anawanyanyua mashabiki wa Simba hapa.
1-2.
Dakika za Nyongeza ni 6.
Full Time.
Simba 1 - 2 Tz Prisons.
View attachment 2926283
#nguvumoja#
Karma is a bitch.View attachment 2925763
Kikosi Cha Simba Kinachoanza Leo.
View attachment 2926137
Kikosi Cha Tanzania Prisons Kilichoanza leo.
View attachment 2926220
Updates
Dakika ya 45+3
Tanzania Prisons wanapata Goli kipitia kwa Samson Mbangula.
HT
Simba 0-1 Tz Prisons.
Kipindi cha Pili Simba wanafanya Mabadiliko.
Mzamiru Out
Saido Inn
Kibu D Out
Chasambi Inn
Freddy Out
Pa Omari Jobe Inn.
Dakika ya 62'
Goal kwa Prisons
Mbangula tena.
Dakika 90'
Goaaaaaaaaalllll
Ñgomaaa anawanyanyua mashabiki wa Simba hapa.
1-2.
Dakika za Nyongeza ni 6.
Full Time.
Simba 1 - 2 Tz Prisons.
View attachment 2926283
#nguvumoja#
Basi tufanyeNdo furaha mmebaki nayo Simba akifungwa,huo mwiko ndo unawasumbua hamtulii mnarukia yasiyowahusu.
[emoji23][emoji23][emoji23]Simba huwa hawakosi visababu vya kujikweza. Utasikia;
1. Tumeingia robo fainali mara ya 5
2. Sisi ni namba 5 kwa sasa Africa
3. Tulimfunga Horoya 7
4. Tumemfunga galaxy 6
5. Chama ni mkubwa sana kuliko...
NB:
Baada ya kuifunga galaxy juzi wakaanza kusema sasa tayari Benchka ameshapata chemistry ya timu, hivyo kila timu itakayokuja ni kipigo cha goli 3 kwenda juu.
Kuna mmoja aliandika " woyoooooooh, gari limeshawaka, timu ya moto na Chama wa moto, walete walete waleteeeeee!!!"
Waniquot na mimi ,5imba wote ni mademuKadi za njano zisizo na sababu. Refa Refa Refa!!
Umezoea kutembea na panadol?. PoleNimeshazoea mbona 😂😂
Nimeshazoea mbona 😂😂
Kunywa kawiski kako upumzike mkuu.......na usirudie kabisa goli la pili maana lile tobo linaweza kukuletea tatizo kiafyaRafiki kama mtani...haya bana mi sina ubaya na ww...
Igweeeeeee
Nani alipigwa tobo? Hapa mbona kama umeandika matusi? Nitakuvua vyeo...ohooooKunywa kawiski kako upumzike mkuu.......na usirudie kabisa goli la pili maana lile tobo linaweza kukuletea tatizo kiafya
Aishi Manula alipigwa tobo mkuu.............baada ya Inonga kupata kizunguzungu+ Kennedy kupigwa chenga na kula nyasiNani alipigwa tobo? Hapa mbona kama umeandika matusi? Nitakuvua vyeo...ohoooo
Kwahyo unanishauri nisiangalie marudio au sio? SawaAishi Manula alipigwa tobo mkuu.............baada ya Inonga kupata kizunguzungu+ Kennedy kupigwa chenga na kula nyasi
Nani alipigwa tobo? Hapa mbona kama umeandika matusi? Nitakuvua vyeo...ohoooo
Nimekuwekea ulione tobo,naona ulivurugwa hukujua hata goli limeingiajeKwahyo unanishauri nisiangalie marudio au sio? Sawa
Tobo mbona wanakula sana hata huko kwenu utopwizoni..View attachment 2926489
Goal la pili hilo hapo tobo
Tobo mbona wanakula sana hata huko kwenu utopwizoni..
Sikua naangalia kipindi cha pili..kwani ww hujawahi pigwa tobo?Nimekuwekea ulione tobo,naona ulivurugwa hukujua hata goli limeingiaje
Nakumbuka tobo la Aziz Ki kwa Mohammed Hussein na hili la Mbangula kwa Manula,nikumbushe mkuuSikua naangalia kipindi cha pili..kwani ww hujawahi pigwa tobo?
Huyo aziz kashakula matobo kama yote..au unataka picha? Na huyo jujui jiara ya kutosha unataka picha?Nakumbuka tobo la Aziz Ki kwa Mohammed Hussein na hili la Mbangula kwa Manula,nikumbushe mkuu