FT: Simba SC 1-2 Tanzania Prisons | NBC Premier League | Jamhuri Stadium | 06.03.2024

FT: Simba SC 1-2 Tanzania Prisons | NBC Premier League | Jamhuri Stadium | 06.03.2024

FT
Azam 1 - 1 Coast Union

Next Game
20:15
Dodoma Jiji Vs Tabora United...
 
Screenshot_20240306-190717_Instagram.jpg
 
Ni kawaida kuna mtu anabisha? Ila jamani Fred duuuh hapana mm sipendi kusema wachezaji ila kwa huyu Fred ni kama ameotesha magimbi kwny miguu yani miguu mizito mnoo...
Ila ndo mpira...
Wenye kucheka chekenii mpk mtosheke...
Kucheka kwa zamu..
 
Ila zinafungwa na prison
Kuliko ninyi ambao kwenu wenye nazo ni wawili tuWamefuzu mara ngapi kwenye michuano ya klabu bingwa, kwahiyo na ihefu nayo ni timu bora, au siyoTimu zenye uwezo mdogo hauwezi kuziona kwenye michuano ya klabu bingwa
 
Simba huwa hawakosi visababu vya kujikweza. Utasikia;

1. Tumeingia robo fainali mara ya 5
2. Sisi ni namba 5 kwa sasa Africa
3. Tulimfunga Horoya 7
4. Tumemfunga galaxy 6
5. Chama ni mkubwa sana kuliko...

NB:
Baada ya kuifunga galaxy juzi wakaanza kusema sasa tayari Benchka ameshapata chemistry ya timu, hivyo kila timu itakayokuja ni kipigo cha goli 3 kwenda juu.

Kuna mmoja aliandika " woyoooooooh, gari limeshawaka, timu ya moto na Chama wa moto, walete walete waleteeeeee!!!"
 
Chama amejitahidi kutengeneza nafasi ila wamaliziaji sasa looool...
 
Ni kawaida kuna mtu anabisha? Ila jamani Fred duuuh hapana mm sipendi kusema wachezaji ila kwa huyu Fred ni kama ameotesha magimbi kwny miguu yani miguu mizito mnoo...
Ila ndo mpira...
Wenye kucheka chekenii mpk mtosheke...
Kucheka kwa zamu..
Asante kwa kutupatia jina jipya la huyu tapeli, sasa tutamwita Fred Magimbi
 
Simba huwa hawakosi visa visababu vya kujikweza. Utasikia;

1. Tumeingia robo fainali mara ya 5
2. Sisi ni namba 5 kwa sasa Africa
3. Tulimfunga Horoya 7
4. Tumemfunga galaxy 6
5. Chama ni mkubwa sana kuliko...

NB:
Baada ya kuifunga galaxy juzi wakaanza kusema sass tayari Benchka ameshapata chemistry ya timu, hivyo kila timu itakayokuja ni kipigo cha goli 3 kwenda juu.

Kuna mmoja aliandika " woyoooooooh, gari limeshawaka, timu ya moto na Chama wamoto, walete walete waleteeeeee!!!"
Vipi kwani? Sisi ni wa kimataifa...
 
Ulikuwa hujui? Jwaneng wamelalamika waliwekewa sumu kwenye chakula chao mpaka wachezaji wa5 wakawa dhofri hali! Wamepelaka mshitaka CAF!
Washenzi hao jwaneng...kwahyo na nyie mlivyotufunga mlipoenda Ihefu mkala 2 kwa 1 mlikua mmetuloga?
 
Washenzi hao jwaneng...kwahyo na nyie mlivyotufunga mlipoenda Ihefu mkala 2 kwa 1 mlikua mmetuloga?
Shida yenu nadhani ni klabu inayoongoza kwa :
1. Mdomo
2. Ushirikina
3. Kununua game
 
Jamani wanaosema Simba ililoga Jwaneng na wao tuwaulizee waliposhinda 5 kwa mnyama wakaenda huko mbarari wakala 2 kwa 1 walitulogaaaaaaaa????
Upotolo upotolo...
 
Shida yenu nadhani ni klabu inayoongoza kwa :
1. Mdomo
2. Ushirikina
3. Kununua game
Mshirikina anamjua mshirikina mwenzie..tuhuma ambazo Simba anapewa na nyie mlipewa tena nyie mliambiwa ni wezi kabisa..
 
Back
Top Bottom