Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Simba ni wabovu pro max [emoji38]1. Yanga 5 - 0 Djibout
Djibout wabovu.
2.Yanga 5 - 0 KMC
KMC mbovu
3. Yanga 5 - 0 JKT
JKT mbovu
4. Yanga 5 - 1 Simba
Simba ni.....[emoji2957]
😂😂😂Hivi kuna mtu aliyekula leo kwenye betting kwa mechi ya simba na yanga?Kampuni za kubet wapumbavu sana. Walimpa Yanga underdog nimechoma laki 3 kizembe. Dah! Kamari sio kitu kizuri.
Mungu ashukuriwe nikiwa na akili timamu nimeshuhudia Yanga SC ikitinga fainali ya CAF confederation cup 2023 & kugaragaza Makolokolo SC 5-1 wala si hadithi za kujifariji kabla sijajua nini maana ya soka "above 18 years" [emoji120]Kuimba kupokezana, ukicheka ujue kuna kulia pia.
Hongera kwa kuyapokea maumivu.
Najua mlivyo na roho mbaya mtaziona hizo tu, hamwezi kuona hata rafu iliyomtoa Kibu uwanjani haikutengwa, ikawa tu mpira wa kurusha.
Ova
Shukrani Mtani, siku zote ukweli humweka huru yeyote.Hongereni kwa ushindi Watani.
Asiyekubali kushindwa sio mshindani.
Ila mabao yamezidi kipimo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Woiiiiih
Tayari kashalewa chang'aa (pombe itokanayo na taka mwili) huyu, mkamateni haraka sana [emoji1787]Nawashangaa,
Mie waniache,
7-1 goli la kusawazisha lilitoka kwa Oscar akiwa mchezaji wa Chelsea SC ya UK.Huwezi ukalinganisha yanga na Al Ahly!! Tofauti ni kama ya usiku na mchana!! Nawapongeza yanga kwa dhati, lakini wao kujilinganisha na Al Ahly bado sana!! Acha Al Ahly hata wao kudhani ni bora zaidi ya simba siyo kweli. ila kwa leo game plan waliyokuja nayo imeipiku ile ya Simba!! Usisahau Ujerumani iliwahi kumfunga Brazili 7-0 tena akiwa kwao!! Hilo pekee halikuwafanya wao wawe bora kuliko Brazil japo kwa mechi hiyo walikuwa bora!!
We jamaa upoRambirambi tunatuma kwa account ipi?
[emoji2]Sema mpira raha sana, kuna Yanga mwenzangu alikuwa kiti cha nyuma yangu, wakati tunashangilia goli la tano alipigwa konzi, mpaka mpira unaisha hajajua kapigwa na nani [emoji28][emoji28][emoji28]
Mie ningeangaliaga kwa watu wengi ningewamwagia maji kabisa,
Maana mnakelele balaa.
Kuna li bonge hapa jirani linafosi mabishano,
Wacha nilale zangu mie,
Nipeni pole na hela.
Nilisema mimi wanakufa 5 ningebet ningepiga hela sanaYanga 5
Tatu malogo 0
Uliyataka mwenyewe acha uyatimbeHongereni kwa ushindi Watani.
Asiyekubali kushindwa sio mshindani.
Ila mabao yamezidi kipimo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Woiiiiih
Nini sasa wewe tatu malogo?Yani unakuta mtu ana niqoute anataka niendike akipendacho ili awe mtani wangu...sasa mimi nimekuja kubembeleza wa kutaniana nae?? Hahahah watuache bwana
Umeeleweka vyema sana, kwa heshima yako hii nukuu kaifungulie uzi wake maalum Chifu, ni ombi tu.Try again, Mangungu na menejiment yote Simba Sasa nyumba inavuja Kazi kwenu!
Watu wa mpira , mashabiki na wapenzi wamesema sana, mkaweka pamba masikioni!
Hongereni watani, ila viongozi Simba wanatuangusha sana!