FT: Simba SC 1-5 Young African SC | NBC Premier League| Benjamin Mkapa Stadium | 05.11.2023

FT: Simba SC 1-5 Young African SC | NBC Premier League| Benjamin Mkapa Stadium | 05.11.2023

Kuimba kupokezana, ukicheka ujue kuna kulia pia.
Hongera kwa kuyapokea maumivu.
Mungu ashukuriwe nikiwa na akili timamu nimeshuhudia Yanga SC ikitinga fainali ya CAF confederation cup 2023 & kugaragaza Makolokolo SC 5-1 wala si hadithi za kujifariji kabla sijajua nini maana ya soka "above 18 years" [emoji120]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Najua mlivyo na roho mbaya mtaziona hizo tu, hamwezi kuona hata rafu iliyomtoa Kibu uwanjani haikutengwa, ikawa tu mpira wa kurusha.

Ova
JamiiForums1088815836.jpg


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Huwezi ukalinganisha yanga na Al Ahly!! Tofauti ni kama ya usiku na mchana!! Nawapongeza yanga kwa dhati, lakini wao kujilinganisha na Al Ahly bado sana!! Acha Al Ahly hata wao kudhani ni bora zaidi ya simba siyo kweli. ila kwa leo game plan waliyokuja nayo imeipiku ile ya Simba!! Usisahau Ujerumani iliwahi kumfunga Brazili 7-0 tena akiwa kwao!! Hilo pekee halikuwafanya wao wawe bora kuliko Brazil japo kwa mechi hiyo walikuwa bora!!
7-1 goli la kusawazisha lilitoka kwa Oscar akiwa mchezaji wa Chelsea SC ya UK.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Try again, Mangungu na menejiment yote Simba Sasa nyumba inavuja Kazi kwenu!

Watu wa mpira , mashabiki na wapenzi wamesema sana, mkaweka pamba masikioni!



Hongereni watani, ila viongozi Simba wanatuangusha sana!
Umeeleweka vyema sana, kwa heshima yako hii nukuu kaifungulie uzi wake maalum Chifu, ni ombi tu.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom