James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,759
- 14,831
Hii imekaaje hiiSimba anashinda goli mbili, moja ya goli linafungwa na Baleke
Mpaka mkome...πHawana vifua....huku nilipo watu wametandika vitambaa vya njano
Akili KUBWAYanga hata wamuweke golini Mwijaku bado ana nafasi kubwa ya kushinda hii mechi.
Tapeli huyoHii imekaaje hii
Zilipendwa, haukuwa hata umezaliwa.
Vigeugeu hao Swahiba. πNasikia wanamtimua ila aliposhinda kule tanga walimpa sifa,makolo mpira hawqjui
Nakusalimia Ntani. πKufungwa kwa kichapo kikubwa ni kawaida kutokea kwa timu kubwa pale 'game plan' zao zikifeli rejea.
Newcastle 4- 0 Psg
Bayern Munich 8 -. 0 Barcelona
Manunited 8 - 2. Arsenal
Mancity 6 - 2 Man United..
Liverpool 5 -0 Man United
Ujerumani 7 - 0 Brazil
Mancity 4 - 1 Arsenal
Hii ya Simba pia itapita tu japo itabaki kwenye historia.
Mbio za mnyama Simba kubeba ubingwa msimu wa 2023/2024 zipo palepale, Uto...msisahau hilo.
Nipo jamani.. hahah nimekumiss lknNimekukumbuka[emoji7]
Hatuna cha kusema mpaka sasa, muda wenu huu wa kutamba.Nakusalimia Ntani. π
Kabisa wacha tutambe tu kwa kweli Mtani.Hatuna cha kusema mpaka sasa, muda wenu huu wa kutamba.
Ndo mgangamale sasa huenda mkabahatisha kuchukua. ππIla tukichukua ubingwa msimu huu huenda tukafanikiwa kupunguza hii fedheha ya jana.
Pira objective kwisha habari yake πVigeugeu hao Swahiba. π
Hilo pira tupa kule Swahiba. ππPira objective kwisha habari yake π