Jobless_Billionaire
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 3,106
- 8,101
Aliikimbia Hadi medaliπππUnacheza na Yanga unabahatika kufunga alafu unamuonyesha dharau kumfungisha mdomo! Unategemea nini, kilichofuata Madogo wanajua, watawasimulia wenzao πππ
Kwanini mkuu, sijaona majibu mkuuSimba wakiuona huu uzi pressure inapanda
We umezaliwa lini mkuu? Kwani hujawahi kuona timu inafungwa hadi sita na wanasahau? Mfano mzuri tu ni mwaka 2012 Yanga alipokandwa 5, 0 na Simba lakini watu tulishasahau na tunaendelea na maisha mengine.Simba wakiuona huu uzi pressure inapanda
Kuna mmoja hapo alilia sana hii sikuMakolo watajifanya hawajaona huu uzi, subiri niwaite
sumbai Mtoto halali na hela Dr Restart cocastic Manyanza min -me OscarkambonaJr
Yupi huyo?Kuna mmoja hapo alilia sana hii siku
Mods ni Simba SC huyo roho ime muuma sanaππMods wameshaunganisha mafileπ
Sindano imuingie hukohuko ofisini kwakeMods ni Simba SC huyo roho ime muuma sanaππ
Anayependa kujichetua kumbe dumeYupi huyo?
Mods wameshaunganisha mafileπ
Amelia kwa uchungu sana πππSindano imuingie hukohuko ofisini kwake
Halafu Swahiba umeniwahi eti. Lol.View attachment 3044804
Yanga bingwa