FT: Simba SC 1-5 Young African SC | NBC Premier League| Benjamin Mkapa Stadium | 05.11.2023

FT: Simba SC 1-5 Young African SC | NBC Premier League| Benjamin Mkapa Stadium | 05.11.2023

Simba wakiuona huu uzi pressure inapanda
We umezaliwa lini mkuu? Kwani hujawahi kuona timu inafungwa hadi sita na wanasahau? Mfano mzuri tu ni mwaka 2012 Yanga alipokandwa 5, 0 na Simba lakini watu tulishasahau na tunaendelea na maisha mengine.
 
Ewaaa! Swahiba tunaendelea tulipoishia. ๐Ÿ˜‚
Screenshot_20240707_133824_Instagram.jpg

Yanga bingwa
 
Back
Top Bottom