FT: Simba SC 1-5 Young African SC | NBC Premier League| Benjamin Mkapa Stadium | 05.11.2023

GAMONDI is a professional coach, ameenda uwanjani kuangalia Makolokwinyo wakicheza unategemea Nini?

Leo ni kichapo tu Cha mbwa Koko! Yanga 3 - Kolowizard Mbumbumbu Simba fc 0! Hiyo imeeeeeeeenda!

Hatutaki lawama za refa Simba itakufa kiume Tena Leo kama kawa, mkandaji mkubwa wa kwanza ni Feitoto Kwa bao lake la uchungu kule CCM Kirumba lililowalaza Simba na viatu huyo Kibu alibahatisha tu Yanga ikiwa haiko mchezoni na Leo atakutana na Ibra Bacca ambae mechi Ile hakucheza tutaona jinsi Kibu D atarukaruka tu uwanjani kama maharage!

Yanga ni baba wa boli Tz Kwa Sasa namuona Max Nzengeli akifungua booster zaidi leo, makolo watamkoma!

Aziz Ki ana goli mbili za faulo! Leo kama sio Yanga 5 - Simba 0 sijui labda refa akatae magoli kama kule Mkwakwani na Leo hatukubali ujinga wa marefa kuibeba Simba!
 

Attachments

  • VID-20231106-WA0002(1).mp4
    3.9 MB
Huu uzi hauna sifa ya kutumika kama uzi mama kwenye mechi ya leo. Maana mtoa mada aliuanzisha jana usiku wa saa 5:59, siku ya Jumamosi tarehe 04/11/2023! na wakati mechi inachezwa leo tarehe 05/11/2023.
 
Salamu,
Leo Tarehe 5 Novemba 2023 itabaki katika Historia y maisha ya Soka ya Mshambuliaji kinara wa Tanzania John Rafael Boko. Pale ambapo atapeleka kilio Kwa Yanga pale Kwa Mkapa!
Tukutane saa moja na robo jioni !
 
๐Ÿ‡ผโ€Š๐Ÿ‡ชโ€Š ๐Ÿ‡พโ€Š๐Ÿ‡ดโ€Š๐Ÿ‡บโ€Š๐Ÿ‡ณโ€Š๐Ÿ‡ฌโ€Š ๐Ÿ‡ฆโ€Š๐Ÿ‡ซโ€Š๐Ÿ‡ทโ€Š๐Ÿ‡ฎโ€Š๐Ÿ‡จโ€Š๐Ÿ‡ฆโ€Š๐Ÿ‡ณโ€Š๐Ÿ‡ธโ€Š ๐Ÿ‡ธโ€Š๐Ÿ‡จโ€Š


๐Ÿ‡นโ€Š๐Ÿ‡ญโ€Š๐Ÿ‡ชโ€Š ๐Ÿ‡จโ€Š๐Ÿ‡ฑโ€Š๐Ÿ‡บโ€Š๐Ÿ‡งโ€Š ๐Ÿ‡ฆโ€Š๐Ÿ‡งโ€Š๐Ÿ‡ดโ€Š๐Ÿ‡ปโ€Š๐Ÿ‡ชโ€Š ๐Ÿ‡ฆโ€Š๐Ÿ‡ฑโ€Š๐Ÿ‡ฑโ€Š


[emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169]

WANACHIIIIIIIIIIIIIIIIIII IIIIIIIIIIIIIIIIIIIII IIIIIIIIIIIIIIIIIIIII IIIIIIIIIIIIIIIIIIIII
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ