Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwanja ujae maji imekua kisimaMECHI KATI YA SIMBA NA YANGA ILIYOPANGWA KUPIGWA LEO JIONI YAAHIRISHWA, HII INATOKANA NA HALI MBAYA YA HEWA (MVUA KUBWA) NA KUSABABISHA UWANJA KUJAA MAJI.
UPDATES ZAIDI KUKUJIA...
Yaani uto amfunge simba tatu? 😀😀Simba anapigwa 3
Unaijua simba mnyama? Mnyama nguvu moja mnyama, anaupiga mwingi mnyama, leo lazima tuwakibu denisHiyo mechi imeshaisha, watu wanafanya mishe kuchomoa hizo 3 mkuu, ila game iko hivyo, hadi Half time Mnyama atakuwa nyuma kwa chuma 2.
Baadae utaona kila kitu sawa koloYaani uto amfunge simba tatu? 😀😀
Leo yanga anashinda. Simba wafanye kazi kutafuta sareHiyo mechi imeshaisha, watu wanafanya mishe kuchomoa hizo 3 mkuu, ila game iko hivyo, hadi Half time Mnyama atakuwa nyuma kwa chuma 2.
Makolo ndio ngazi yetu ya kubeba ubingwa wana point zetu 6 na hatuziombi tunazichukua kwa nguvu , tatu tunazichukua Leo.Utopolo wana points zetu 6.
Matuta mawili Yanga watapata kupitia Max Nzengeli ambae kutokana na talent yake kubwa atakosa beki wa kumkaba Simba watamchezea rafu mbili za penati.Hii game itaisha mapema kama yanga watacheza kama mechi zao zilizopita kwa kuacha nafasi wakiwa hawana mpira mapema tu wanakufa wasipoangalia watasababisha na tuta .
Sikupingi babu, kitambo sana humu mjengoni.Hawazifuti. Wanaziunga.... muwe mnatuuliza wakongwe na mababu wa JF mnapokuwa hamlijui jambo....
Tumewazoea, hivyo hatuwashangaiSimba nipigie hao utopolo....Simba Nguvu moja[emoji109]View attachment 2804101
Utabaki kua mjinga hivyo hivyo.Utopolo wana points zetu 6.