Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi mechi zina tabia ya kwisha kwa sare, ukiona mmoja kafungwa/kashinda basi ujue ni jambo la bahati bahati hivi.
GAMONDI is a professional coach, ameenda uwanjani kuangalia Makolokwinyo wakicheza unategemea Nini?
Leo ni kichapo tu Cha mbwa Koko! Yanga 3 - Kolowizard Mbumbumbu Simba fc 0! Hiyo imeeeeeeeenda!
Hatutaki lawama za refa Simba itakufa kiume Tena Leo kama kawa, mkandaji mkubwa wa kwanza ni Feitoto Kwa bao lake la uchungu kule CCM Kirumba lililowalaza Simba na viatu huyo Kibu alibahatisha tu Yanga ikiwa haiko mchezoni na Leo atakutana na Ibra Bacca ambae mechi Ile hakucheza tutaona jinsi Kibu D atarukaruka tu uwanjani kama maharage!
Yanga ni baba wa boli Tz Kwa Sasa namuona Max Nzengeli akifungua booster zaidi leo, makolo watakoma!
Aziz Ki ana goli mbili za faulo! Leo kama sio Yanga 5 - Simba 0 sijui labda refa akatae magoli kama kule Mkwakwani na Leo hatukubali ujinga wa marefa kuibeba Simba!
Si nasikia imeshasimama?Mechi hi iarishwe mvua hi ninkubwa
.Yanga hata wamuweke golini Mwijaku bado ana nafasi kubwa ya kushinda hii mechi.
Malizia kauli mbiu yenu[emoji16]Daima mbeleeee[emoji169][emoji169][emoji169][emoji172][emoji172][emoji172]
nyuma kuna mwikooDaima mbeleeee💛💛💛💚💚💚
Nyuma Makolonyuma kuna mwikoo
nyuma mwiko mkuuNyuma Makolo