Mr mutuu
JF-Expert Member
- Jan 27, 2023
- 2,869
- 14,501
nyuma mwiko mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nyuma mwiko mkuu
Yanga The unbeaten💪💪💚💚Malizia kauli mbiu yenu[emoji16]
yanga nyuma mwiko mkuu
Milele amina!#DaimaMbeleNyumaNiMwiko
mchumba mamboMilele amina!
Kwanza kabisa mashabiki wote tuiombee timu yetu pendwaHayawi hayawi sasa yamekuwa, tarehe 05.11.2023 iliyokuwa ikisubiriwa na Watanzania wengi imewadia. Siku ambayo wapenzi wa soka watashuhudia Derby ya Kariakoo, miongoni mwa Derby bora kati ya zile zinazoheshimika barano Afrika.
Mechi hii itaanza muda wa saa 11:00Jioni.
Kaa nami katika uzi huu upate kushuhudia matukio mbalimbali
Utupe matukio sio unapoteaHayawi hayawi sasa yamekuwa, tarehe 05.11.2023 iliyokuwa ikisubiriwa na Watanzania wengi imewadia. Siku ambayo wapenzi wa soka watashuhudia Derby ya Kariakoo, miongoni mwa Derby bora kati ya zile zinazoheshimika barano Afrika.
Mechi hii itaanza muda wa saa 11:00Jioni.
Kaa nami katika uzi huu upate kushuhudia matukio mbalimbali
Simba mvua simba La majiniKwanza kabisa mashabiki wote tuiombee timu yetu pendwa
Yanga african sports clubs
Tuiombee ushindi dhidi ya simba sijui ni simba pori au simba la mjini
Tuiombee kheli ya ushindi maana ndio timu ya binaadamu wote bila kujari anatokea Taifa gani
Ushindi uwe kwa timu ya Yanga
Wote semeni Amina
Simba watajijua wenyewe lolote liwakute maana hakuna jinsi
Huwajui Yanga na SimbaYanga hata wamuweke golini Mwijaku bado ana nafasi kubwa ya kushinda hii mechi.
Tatizo baada ya mechi huwa mnakimbiaga.Yanga hata wamuweke golini Mwijaku bado ana nafasi kubwa ya kushinda hii mechi.
Kivipi? Imeaihirishwa?Hakuna cha gemu walanini